Nauza bajaj niliyoichukua kwa mkopo, atakayeitaka atatakiwa kurudisha rejesho

Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Hapo hata ukwaju wa azam wa jero inabidi uutolee tu macho
 
Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Na ww umekosea...
Fanya
139400 x 2x 54= 15100000
Hapo ukiongeza 1m tena sawa na mil 16..

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Hahah mkuu mbona umefika mbali kiasi hiki?

Hakuna wizi hiyo kazi ni kazi kama zilivyo kazi nyengine unaajiriwa unamuingizia mwenye kampuni mill 30 kwa mwezi ikifika mwisho wa mwezi anakupa chako 1 mill kama mshahara unabaki unakenua meno na hakuna siku atakurithisha kampuni tofauti na huku unaumia ndani ya muda fulani baada ya hapo unapata maisha,wapo wasomi wameweka vyeti makabatini wanaifanya wanajutia kwanini walikuwa wanajidhalilisha kuzunguka na bahasha za khaki kutafuta kazi za ”ndiyo boss ndiyo boss".

Kila kazi ina principle na codes zake muhimu kuzizingatia hawa Bajaj&bodaboda drives wanapata sana hela tatizo lao sketi haziwapiti mbali.
Kwani ukiwa na boda boda ya kampuni haujaajiriwa..? 😅😅😅😅
 
Ni kweli.

Kwa sisi tunaofanya mikataba mitaani huwa hesabu inakuja kila siku kumi akiongeza hapo zake mbili ila hizo za kampun huwa wanataka instantly kama wiki wiki siku kumi ni siku kumi hawataki maelezo hapa ndipo mkataba unapomuwia ugumu.

Angepewa fursa ya kusogea siku mbili mbele angeweza akatoboa.
Kuna jamaa yangu nae wanamsumbua kinyama na simu akichelewesha marejesho 🤣🤣🤣
 
Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Na ndiyo maana amerejesha mwezi mmoja tu akaona mziki mzito, yaani hili rejesho kama unaendesha mwenyewe hii bajaji lazima utakuwa kwenye hatari ya kusababisha ajali ukiwaza rejesho kila saa
 
Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24

Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi

557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka

6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili

Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Kumbuka alitanguliza milioni moja (kwa mujibu wa maelezo yake, so hapo ongeza 1M)
 
Back
Top Bottom