Hapo hata ukwaju wa azam wa jero inabidi uutolee tu machoNi hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24
Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi
557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka
6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili
Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Hapo dawa ni kukimbia nayo tu 🛺 potelea mbali 😆Khaaa jamaa aingize elfu 30 kwa siku labda ndo itawezekanaa sasa bajaji elfu 30 kwa siku utaitoa wapi??? hapo hujalaa..mafutaaa pia.
Umekubali mziki bruh 😄Ni nouma!
Na ww umekosea...Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24
Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi
557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka
6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili
Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Kwani ukiwa na boda boda ya kampuni haujaajiriwa..? 😅😅😅😅Hahah mkuu mbona umefika mbali kiasi hiki?
Hakuna wizi hiyo kazi ni kazi kama zilivyo kazi nyengine unaajiriwa unamuingizia mwenye kampuni mill 30 kwa mwezi ikifika mwisho wa mwezi anakupa chako 1 mill kama mshahara unabaki unakenua meno na hakuna siku atakurithisha kampuni tofauti na huku unaumia ndani ya muda fulani baada ya hapo unapata maisha,wapo wasomi wameweka vyeti makabatini wanaifanya wanajutia kwanini walikuwa wanajidhalilisha kuzunguka na bahasha za khaki kutafuta kazi za ”ndiyo boss ndiyo boss".
Kila kazi ina principle na codes zake muhimu kuzizingatia hawa Bajaj&bodaboda drives wanapata sana hela tatizo lao sketi haziwapiti mbali.
Hahahahahah wenye mamlaka wako kwenye Payroll za wanyonyaji 🤣🤣🤣Wabongo tunanyonywa sana kutokana na umaskini wetu. Wenye mamlaka nao wapo kimya kama hawaoni..
Utafanyaje na ajira hamna, maisha magumu sana jamani. Not everybody is lucky to be employed somewhere kwenye maslahi mazuri.Wamekuuzia bajaji 15M hata kama ni mkopo aisee huo ni upigaji
Kuna jamaa yangu nae wanamsumbua kinyama na simu akichelewesha marejesho 🤣🤣🤣Ni kweli.
Kwa sisi tunaofanya mikataba mitaani huwa hesabu inakuja kila siku kumi akiongeza hapo zake mbili ila hizo za kampun huwa wanataka instantly kama wiki wiki siku kumi ni siku kumi hawataki maelezo hapa ndipo mkataba unapomuwia ugumu.
Angepewa fursa ya kusogea siku mbili mbele angeweza akatoboa.
Holly Star zingatia ushauri huu ni muhimu mno kwenye maamuzi Yako.Nakuomba ufanye re-view ya maamuzi yako usije jutia. Sipo hapa kuharibu biashara ya watu, ila ndugu yangu, mvuja jasho mwenzangu, nakuomba ufanye maamuzi yako kwa umakini mkubwa usije jutia hapo mbeleni..
Na ndiyo maana amerejesha mwezi mmoja tu akaona mziki mzito, yaani hili rejesho kama unaendesha mwenyewe hii bajaji lazima utakuwa kwenye hatari ya kusababisha ajali ukiwaza rejesho kila saaNi hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24
Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi
557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka
6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili
Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Kumbuka alitanguliza milioni moja (kwa mujibu wa maelezo yake, so hapo ongeza 1M)Ni hatari sana; hizi hesabu ni ngumu
Rejesho kwa wiki 139,400 kwa muda miezi 24
Kimahesabu: 139,400 X 4 = 557,600/- kwa mwezi
557,600 x 12 = 6,691,200/- kwa mwaka
6,691,200 x 2 = 13,382,400/- kwa miaka miwili
Ili urudishe huu mkopo wa namna hii unahitaji ''discipline'' ya hali ya juu.
Bora ufanye kazi ingineMikopo yote ya bajaji Ni hivi..Tena wengine unarudisha Hadi milioni 14
Na ndiyo maana amerejesha mwezi mmoja tu akaona mziki mzito, yaani hili rejesho kama unaendesha mwenyewe hii bajaji lazima utakuwa kwenye hatari ya kusababisha ajali ukiwaza rejesho kila saa
Milioni nane toa mwezi mmojaDeni limebaki kiasi gani