Nauza Azam Tv kwa Tshs 60,000/=

Nauza Azam Tv kwa Tshs 60,000/=

Ameweka tangazo ameuza na simu, nendeni dukani msipende kitonga
 
Naomba uziangalie pm zangu na niko tayar kukinunua ndugu
 
Mchochezi soma PM nimeku inbox kwa lugha wanazotumia
 
Last edited by a moderator:
Ni King'amuzi cha Azam tv kikiwa kimekamilika kila kitu.

bei ni kama nilivytaja hapo juu, haipungui hata senti, nipo Goba.
Mimi nitakupa 70,000 kama kipo pamoja na dishi + KU na risiti ya manunuzi. njoo inbox
 
Back
Top Bottom