Nauza ALMASI

Nauza ALMASI

navijiko pia huwa vina ngara ila mimi huwa naitumia kuilia swiming pool si unajia swiming pool ina sukali sana
 
Gramu 54 tsh 3000000, Gramu 40 rangi ya disel tsh 2000000 na Gramu 25 tsh 1000000
Text to me the 4C's of your diamonds.
Gram 54 how many pcs, gram 40 how many pcs na gram 25 how many pcs.
 
jamani niliuza nyumba k koo kwasababu ya biashara ya armas wakanifata tena walijua me ni addicted na hii kitu

nikaenda salenda walivyo rudi mpaka leo wako jela nikajua kuwa hii ni fake bizness

leo tana jamii nimetamani la moyo mweusi sana kwa hii bizness
 
Ana Ali kiba
Duuhh! Siamini kama hii ndio JF ninayoifahamu. Sehemu ya watu wenye fikra pevu na wenye kufikiri kwa mantiki. Inasikitisha na kushangaza pia. Kila jambo ni masihara, kesho ndio sie hao hao kulalamika ooooohhh wachina wamekuwa wamachinga, ooooohhh wakenya wanachukua ajira zetu.
 
Dah! Miaka zaidi ya 30 iliyopita kuna tapeli aliniuzia almasi za chupa! Jamaa ana roho mbaya sana yule. Yaani nikisikia kitu kinaitwa 'almasi' akili inavuruga kabisa.

Hivi muda huu na mimi ningekuwa natambulika kama Bilionea Tate Mkuu!
 
Duuhh! Siamini kama hii ndio JF ninayoifahamu. Sehemu ya watu wenye fikra pevu na wenye kufikiri kwa mantiki. Inasikitisha na kushangaza pia. Kila jambo ni masihara, kesho ndio sie hao hao kulalamika ooooohhh wachina wamekuwa wamachinga, ooooohhh wakenya wanachukua ajira zetu.
ooooohhh wachina wamekuwa wamachinga,
ooooohhh wakenya wanachukua ajira zetu.

Hivi ni kina nani hawa wakitaka kuongea hua wanaanza na hili neno "ooooohhh"?? Sijawahi kabisa kuwaona hawa watu, we umekutana nao wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom