Nausikilizia mwili wangu Kama simu

Nausikilizia mwili wangu Kama simu

Unafanya kosa kubwa sana kujidhani una HIV bila kupima. Situation kama hiyo iliwahi kunipata mimi! Ngoja nikuambie mkasa mzima. Nililala na mwanamke mmoja bila kutumia kinga. Baadae asubuhi nikagundua yule dada ana kovu kubwa mgongoni kama alama ya mkanda wa jeshi. Kumuuliza akasema aliungua. Na nikagundua zaidi kuwa alikuwa mwingi na mtembezi sana. Nguvu zikaniaishia. Baada ya miezi mitatu tumbo likaanza kujaa gesi na kuharisha. Haikuishia hapo nikapata na vidonda mdomoni. Nikaona tayari nimeshaukwaa. Nikaamua kwenda kucheki lakini kama mara nne nikawa nikienda wakati tuko kwenye foleni nashikwa na hofu na kuamua kukatiza zoezi. Nikawa naugua kadiri siku zinavyokwenda. Ikatokea siku moja nikaumwa sana sana. ie kuharisha, kutapika na homa kali. Ikawa sina tena ujanja. Nikaenda hospital. Dr akaniandikia vipimo kama full blood picture etc lakini hakuandika cha HIV. Matokeo ya full blood picture yakatoka na nikaonekana sina tatizo. Nikapata nguvu. Nikamuuliza dr hivi kama ningekuwa na HIV si ningeonekana nina hitilafu kwenye haya matokea ya full blood picture? Dr akasema ndio lakini vilevile unaweza usijue. Akanishauri nipime. Kupima nikakuta negative! Kumbe ni hofu tu ilinishika na nilikuwa na typhod! Ushauri wangu nenda kapime! Na hata kama una HIV hakuna neno. Siku hizi kuna dawa na waathirika wengi wanaishi maisha ya kawaida. Nina jamaa kama tisa nawafahamu walipima kama miaka 15 iliyopita wakakuta positive wakansa dawa na sasa wanaishi vizuri kabisa. Kuwahi ni kuzuri na utaishi life span ya kawaida kama utafuata masharti
Asante Kwa kunipa moyo Ila nasafari ya week 8 mbele.
 
Mimi sijaamini story yako mkuu labda uweke picha ya Upele tuone
 
Pole sana mkuu ,lakini nahisi unajipa presha bure , cha muhimu subiri ukifikisha mwezi mmoja nenda ukapime coz hivi vipimo vya bioline vina detect after one month kama mtu kaambukizwa,,,

Mimi nakumbuka kama miezi minne nyuma niliwahi kukutwa na hali kama yako but ya kwangu ilikua tofauti kidogo coz nilijichoma na sindano iliyokwishakutumika kwa mgonjwa wodini,,, nilipotezea tu baada kama ya siku mbili nikamshirikisha jamaa yangu akaniambia niende kumpima mgonjwa,, ile nimerudi nikakuta mgonjwa ameshafariki so niliishi na mawazo sana ila baada ya mwezi mmoja nilipima nikakuta niko fresh, baada ya miezi mitatu tena nkapima nikakuta niko powa pia,,,

Dalili hizo unazozisema mimi mwenyew nilkutana nazo coz niliugua kama wiki mbili mfululizo , nikawa sina hamu ya kula ,nikapoteza uzito kama kg 3 hivi ,nikajua tayari nimeshaukwaa,pia nilkua na mawazo kama yako coz sijawahi fanya mapenzi na nikawa nawaza na kujitunza kote leo nakufa kwa sababu ya kumuhudumia mtu tena nikiwa na umri wangu wa miaka 22 tuu

,, But all in all Mungu ni mkubwa , muombe yeye tu na hayo mawazo yatakwisha yote na naamini uko salama sema hizi dalili zinaletwa na hofu zinazosababisha immune system yako kuwa weak…!!
 
Pole sana mkuu ,lakini nahisi unajipa presha bure , cha muhimu subiri ukifikisha mwezi mmoja nenda ukapime coz hivi vipimo vya bioline vina detect after one month kama mtu kaambukizwa,,,

Mimi nakumbuka kama miezi minne nyuma niliwahi kukutwa na hali kama yako but ya kwangu ilikua tofauti kidogo coz nilijichoma na sindano iliyokwishakutumika kwa mgonjwa wodini,,, nilipotezea tu baada kama ya siku mbili nikamshirikisha jamaa yangu akaniambia niende kumpima mgonjwa,, ile nimerudi nikakuta mgonjwa ameshafariki so niliishi na mawazo sana ila baada ya mwezi mmoja nilipima nikakuta niko fresh, baada ya miezi mitatu tena nkapima nikakuta niko powa pia,,,

Dalili hizo unazozisema mimi mwenyew nilkutana nazo coz niliugua kama wiki mbili mfululizo , nikawa sina hamu ya kula ,nikapoteza uzito kama kg 3 hivi ,nikajua tayari nimeshaukwaa,pia nilkua na mawazo kama yako coz sijawahi fanya mapenzi na nikawa nawaza na kujitunza kote leo nakufa kwa sababu ya kumuhudumia mtu tena nikiwa na umri wangu wa miaka 22 tuu

,, But all in all Mungu ni mkubwa , muombe yeye tu na hayo mawazo yatakwisha yote na naamini uko salama sema hizi dalili zinaletwa na hofu zinazosababisha immune system yako kuwa weak…!!
nishatoka kwenye dozi ya pep 2015 kuna msichana alining'ata wakati nikiwaamua ugomvi alikuwa na damu mdomoni bahati nzuri chini ya police alikubali nimuathirika nikaanzishiawa dozi nilvyomaliza nikakutwa mzima. asa limerudi tatizo lilelile
 
nishatoka kwenye dozi ya pep 2015 kuna msichana alining'ata wakati nikiwaamua ugomvi alikuwa na damu mdomoni bahati nzuri chini ya police alikubali nimuathirika nikaanzishiawa dozi nilvyomaliza nikakutwa mzima. asa limerudi tatizo lilelile
Duu, pole sana lakini usijipe stress ingawa nafahamu kipindi hiki jinsi kinavokuwaga, subiri mwezi ukiisha nenda kapime naamini utapata mustakabali wa tatizo lako
 
Umechelewa ile ile siku ya kwanza ulipohisi umeambukizwa, ungeenda hospital ukamueleza daktari angekuanzisha dozi ya A.R.V ingefanya kazi kama dawa ya H.I.V.
Ukiwahi kabla virusi havijaanza maambukizi ukatumia dozi ya A.R.V unapona kabisa H.I.V ila ukichelewa hadi vikaanza kuonesha dalili kwenye mwili wako, jua safari yako ni ya kuishi kwa matumaini na dozi ya A.R.V kila siku.
Anyway kuonesha dalili za ukimwi sio kuugua ukimwi wakati mwengine ukiwa na hofu hujikuta ukaonesha dalili kama hizo kwa sababu umeshajiwekea ugonjwa huo akilini mwako.
Pia kuna maradhi mengi tu yenye dalili kama hizo, cha msingi nenda hospital umweleze daktari unavyojisikia nae atakupima kulingana na dalili zako.
Pole mkuu na ondoa dhana ya kuathirika kabla ya majibu.
 
Ni kwanini usimtafute uyo dogo ukampeleleza kirafiki tu, akupe atleast matumaini kwa kipindi unachosubiria kwenda kupima
 
Kijana ondoa ugonjwa wa wasiwasi. Kuambukizwa VVU ni rahisi sana.... Ila dalili zake huwezi kuzipata nyingi hivyo kwa muda mfupi hivyo. Hapa ninaishi na dogo wangu HIV positive mwaka wa 16 huu. Anang'aa ukiambiwa muthirika huwezi kubali. Ana mke na watoto wawili wenye afya safiiii. Nenda kapime. Utashangaa
 
Back
Top Bottom