Nauona muda uliotabiriwa na mwalimu wa Mwitongo unakaribia

Nauona muda uliotabiriwa na mwalimu wa Mwitongo unakaribia

Nyabutoro

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
1,342
Reaction score
1,602
Tulianza na majibizano makali ya hoja kati ya chama kinachitawala kijiji chetu na kile chama mbadala, walioshindwa kwa hoja wakaanza kutumia mabavu, wakashinda.Hawakuishia hapo wakawageukia wanaopenda kuleta hoja fikirishi ndani ya chama kinachotawala kijiji, wanakaribia kuwashinda.Mtifuano wa watumia mabavu na watumia akili unaenda kutimiza utabiri wa Mwalimu wangu wa Mwitongo, tusubiri.
 
Tulianza na majibizano makali ya hoja kati ya chama kinachitawala kijiji chetu na kile chama mbadala, walioshindwa kwa hoja wakaanza kutumia mabavu, wakashinda.Hawakuishia hapo wakawageukia wanaopenda kuleta hoja fikirishi ndani ya chama kinachotawala kijiji, wanakaribia kuwashinda.Mtifuano wa watumia mabavu na watumia akili unaenda kutimiza utabiri wa Mwalimu wangu wa Mwitongo, tusubiri.
.Mtifuano wa watumia mabavu na watumia akili unaenda kutimiza utabiri wa Mwalimu wangu wa Mwitongo, tusubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom