Mungu akutie nguvu zaidi na zaidiLink ya Uzi wangu wa kutubu na kuamua kuwa mfuasi wa Yesu Kristo huu hapa.
Nimeamua Kuwa Mfuasi wa Yesu Kristo.
Nawe au naye...!!!?
Mkuu umenialika jana tu leo umefanya madiliko bila kunijuza?Bado nisaidie tafadhali View attachment 665311
Umekumbuka kuniombea?amen