Usihukumu ukaja ukahukumiwa. Toa kibanzi jichoni mwako kabla ya kutoa boriti katika jicho la mwenzio.Kama wewe umetubu na yeye AKATUBU
Aaamen....!!!Namuungamia Mungu Mwenyezi Nanyi Ndg zangu kwani nimekosa mno kwa maneno kwa mawazo na kwa kutokutimiza wajibu.
Nimekosa mimi nimekosa sana.
Nakuomba ewe Bikira Maria Mwenye Heri uniombee msamaha kwa Baba mpaka mwisho wa uhai wangu.Amina.
Nimesema hivi anatakiwa Kutubu yaaani ATUBUUU na hata wewe unayemtetea muovu UTUBUUsihukumu ukaja ukahukumiwa. Toa kibanzi jichoni mwako kabla ya kutoa boriti katika jicho la mwenzio.
Zitazame dhambi zako. Then uwe wa mwanzo kumrushia mwenzio Mawe. Happy New Year 2018.
niliongozwa na urari wa kibinadamu kutaka kujionesha kuwa mimi ni zaidi.. Mimi ni kiboko na mimi ni mimi..
Happy new year my beautiful cocochanelHapo sasa mie wa maswali nimefika kuwahi siti.. haya nambie kisa cha hayo ni kama walikuponda au.. duh eleza tu nisikosee swali.
Tuliombee TAIFA lipate kupona... Taifa likipona hata vilivyomo ndani yake vitapona... Kwakuwa majeraha na vyenye damu, vyenye pumzi, vyenye uhai... Tukifanya hivi taifa litapona na laana ya ukame majanga na mabalaa mbali mbali... Taifa likipona.. Taifa likitubu na kuungama hata wao watatubu.. WataungamaTumia ushawishi wako kumshawishi na yuleee umuonae kwenye kona kulee nae ATUBU...
Happy new year my beautiful cocochanel
Nakuungamia Mungu Mwenyezi,Nanyi Binadamu wenzagu.Natubu dhambi zangu.Nimesema hivi anatakiwa Kutubu yaaani ATUBUUU na hata wewe unayemtetea muovu UTUBU
Unamuungamiaje binadamu anayetaka yeye aombewe huku wagonjwa hataki waombewe tena anatumia hadi polisi kuwatawanya wanaowaombea wengineNakuungamia Mungu Mwenyezi,Nanyi Binadamu wenzagu.Natubu dhambi zangu.
Ukimtendea jirani yako vibaya hupaswi kumuomba msamaha na kutubu mbele yake hutorudia tena?Unamuungamiaje binadamu anayetaka yeye aombewe huku wagonjwa hataki waombewe tena anatumia hadi polisi kuwatawanya wanaowaombea wengine
Sorry muktadha wa mada uko deep kuliko ufahamu wakotag uliowakosea ili wapate ujumbe sio kurusha jiwe gizani, toba ya kweli ni kumfuata unayedhani umemkwaza kwa namna moja au nyingne na kumuomba msamaha na kikusamehe basi na Mungu Ataifuta!
Hii pic ya mwsho unaweza nipa tafsir yake boss?Aaamen barikiwa zaidi.. Na tukapande pando jipya lisilo na mawaa... Tuachane na pando la ubatili lililopita.. Mazao yake yalijaa mbigili na miba za visasi, mateso, majigambo, kejeli, ubabe, vitisho na Matokeo yake tukamwaga damu nyingi isiyo na hatia... Tukaungame na kutubu sasa tutaliponya taifa