NEGLIGIBLE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 354
- 92
habari wana jamvi,hivi wabunge wote wanaochangia bajeti na kudai kuwa wanaiunga mkono bajeti mia kwa mia tena kwa msisitizo halafu wanaikosoa ni kwamba hawajui hesabu au wasiposema hivyo wataonekana wanaipinga serikali?..................nadhani umefika wakati wabunge wanapaswa kujua kazi zao,ambazo ni pamoja na kuisimamia serikali na sio vinginevyo...................