Kuunga mkono mgomo wa madaktari; mtanisamehe kwa tafsiri yangu, ni sawa na Ugaidi, Ukaburu, Ush***zi, Use**ge wa kupindukia!!!! Wanaoathirika na mgomo huu siyo akina Pinda, Mponda, Nkya, Kikwete, Slaa, Mbowe, Lipumba, Seif,Magufuli, Mwakyembe, Rizi-1, wala wengineo wa tabaka hilo... endapo kama ule mgomo uliopita ungewagusa wangekuwa wamesalimu amri...lakini wanajua hata kama ma-dr wakigoma kwa miaka yote-5 mfululizo, hawataathirika hata kidogo...sisi walalahoi tu ndio tunaathirika... Ni bora MAANDAMANO mara elfu moja huwa wanayaogopa, pia hayawaui walalahoi kwa wingi kama mgomo wa ma-dr. SIUNGI MKONO KABISA MGOMO WA MA-DR.