jcb
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 280
- 66
Naomba mnisaidie katika hili, Hivi hawa wabunge wa ccm inakuwaje wana lalamikia hotuba za bajeti sana na mwisho wanaunga mkono hoja nimekuwa nikitafakari jambo hili na sijapata jibu kama ndio utaratibu wa chama au ndivyo inavyo stahili kuwa.
Naomba kuwa silisha angalao mnifungue katika hili.
Naomba kuwa silisha angalao mnifungue katika hili.