Nyie UWT ndiyo mnahaki peke yenu?Upuuzi tu! Pia ni dharau! Mbona hamkutoa wazo hizi wakati wa John!
Nyie kama mnataka kususa Uchaguzi suseni, uchaguzi utaendelea! Hamna haki Wala uwezo wa kulazimisha hayo mnayotaka!
Haya ndiyo mawazoAcha samia amalizie miaka yake mitano lissu akiwa Rais atafanya yeye hiyo reform
Lissu ana wazo zuri lkn miaka mitatu ni mingi mno tukiamua kwa usiriazi hayo marekebisho ndani ya mwaka mmoja yanawezekana!!!👿Mwaka mmoja unatosha kufanya hayo
Mifumo ipi?Siungi mkono hoja, uchaguzi ufanyike tutumie mifumo badala ya hii tume ya kitapeli ya CCM
uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya nchi ni october 2025 na si vinginevyo,Wazo la lissu ni mukide kabisa !! Rais apewe miaka mitatu ya mpito ili tufanye reforms za uhakika kuanzia katiba na maoni kwa wananchi kazi hii mpaka ikamilike itachukua sio chini ya miaka 3 !!
Hii itakuwa ofa tu kwa mheshimiwa rais na baada ya hapo uchaguzi uitishwe sasa na akishinda anapiga mitano Tena mpaka 2033!! Itakuwa tumemaliza Kila kitu kwa uzuri sana.
Pia, Soma: Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Huyu Kafulila anachamba mpaka kinyaa, atagusa kinyesi mwisho wa siku,Wazo la lissu ni mukide kabisa !! Rais apewe miaka mitatu ya mpito ili tufanye reforms za uhakika kuanzia katiba na maoni kwa wananchi kazi hii mpaka ikamilike itachukua sio chini ya miaka 3 !!
Hii itakuwa ofa tu kwa mheshimiwa rais na baada ya hapo uchaguzi uitishwe sasa na akishinda anapiga mitano Tena mpaka 2033!! Itakuwa tumemaliza Kila kitu kwa uzuri sana.
Pia, Soma: Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano
Sasa hivi kwa huo msimamo wake wa no reform no election anaenda kuua ChademaKwahiyo unatamani waingie kwenye Uchaguzi kisha wapate wabunge wawili kisha muanze kumcheka kwamba tuliwaambia Lissu anaenda kukiua Chama sio?
Kwani kilitokea nini Mwaka 2020 ambapo Chadema walishiriki ule Uchaguzi Kwa tume hii hii ambayo Viongozi wote Wanateuliwa na Mgombea wa CCM ambaye naye anagombea URais?
Kati ya wewe na Lissu nani unadhani mwenye akili??
The best option we have ni uchaguzi kuahirishwa na tuweke mifumo mizuri. Hata mwaka 1 au miaka 2 inatutosha tukiamuq kuwa serious.Siungi mkono hoja, uchaguzi ufanyike tutumie mifumo badala ya hii tume ya kitapeli ya CCM
Endeeleni kusubiri meli uwanja wa ndege.Sasa hivi kwa huo msimamo wake wa no reform no election anaenda kuua Chadema
Watu wamejiandaa kugombea na wana watu tayari wa kuwapigia kura
Kuna mgogoro mkubwa unaenda kumtoa Lisu
Tayari kuna watu wamejipanga kutaka kuitisha mkutano wa baraza kuu kupinga hiyo no reform no election kuwa ilipitishwa na baraza kuu ambalo halikuwa ba sifa sababu akidi ilikuwa haikutimia na pia kuna wajumbe waliopitisha hilo azimio hawakuwa wajumbe halali
Na hicho kikao kinaenda kumtimua Tundu Lisu
Heri yule anayewaza ruzuku ya halali Wewe kichwani una Mavi tu.Lisu anawaza tu ruzuku
Kuwa akiendelea kupokea kwa miaka hiyo mitatu ghorofa lake litakuwa limeisha kujengwa na hela ya kampeni atakuwa nayo
Jicho lote hapo liko.kwenye ruzuku ambayo mwezi huu wa sita ndio mwisho
Hizo zingine anaongea porojo tu
Kichwani anawaza ruzuku tu
Hao waliojiandaa kwenda kugombea watatangazwa washindi na tume ipi hiyo?Sasa hivi kwa huo msimamo wake wa no reform no election anaenda kuua Chadema
Watu wamejiandaa kugombea na wana watu tayari wa kuwapigia kura
Kuna mgogoro mkubwa unaenda kumtoa Lisu
Tayari kuna watu wamejipanga kutaka kuitisha mkutano wa baraza kuu kupinga hiyo no reform no election kuwa ilipitishwa na baraza kuu ambalo halikuwa ba sifa sababu akidi ilikuwa haikutimia na pia kuna wajumbe waliopitisha hilo azimio hawakuwa wajumbe halali
Na hicho kikao kinaenda kumtimua Tundu Lisu
Mifumo ipi?
Kwanini tusitumie biometric voting system machine? mbona tunaishi maisha ya kizamani sn?The best option we have ni uchaguzi kuahirishwa na tuweke mifumo mizuri. Hata mwaka 1 au miaka 2 inatutosha tukiamuq kuwa serious.
biometric voting system machineMifumo ipi?
Hata hiyo ili ifanikiwe ni lazima tutengeneze mfumo wa watu neutral kwa ajili ya kuisimamia. Wasitokee kina Makamba na Kipilimba wengine.Kwanini tusitumie biometric voting system machine? mbona tunaishi maisha ya kizamani sn?
Ujinga mtupu umeandikaWazo la lissu ni mukide kabisa !! Rais apewe miaka mitatu ya mpito ili tufanye reforms za uhakika kuanzia katiba na maoni kwa wananchi kazi hii mpaka ikamilike itachukua sio chini ya miaka 3 !!
Hii itakuwa ofa tu kwa mheshimiwa rais na baada ya hapo uchaguzi uitishwe sasa na akishinda anapiga mitano Tena mpaka 2033!! Itakuwa tumemaliza Kila kitu kwa uzuri sana.
Pia, Soma: Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano