Naunga mkono amunike kutimliwa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Pamoja na kwamba Nigeria wana asili ya kudharau mataifa mengine ya africa lakini amunike amezidi.

Kwanza aliwadanganya tff kwamba yeye alikua mchezaji nyota pale barcelona.. ukweli ni kwamba kwa muda wote miaka 4 amunike alifunga goli moja tuu..

Amunike ni mtu ambaye alizajiliwa kimakosa na barcelona, na sijui alipataje mchongo huo kutoka zamaleki.

Cha pili kila akiongea anajigamba kwamba yeye ni mchezani bora.. ukweli ji kwamba hata huko nigeria sio star... ni mchezaji wa kawaida sana.

Kitendo cha kuwatukana wachezaji ni kuwatukana watanzania.. naamini muda huu huko aliko baada ya kutimuliwa atakua ametutukana sana watanzania hasa viongozi wa tff.


Naomba TFF mtuletee kocha ambaye sio njaa.. anaye ipenda Tanzania, anaye wapenda watanzania. Na anayejua kufundisha mpira.


Na hili lianze na u15 .
1548303886803.gif
 
Pamoja na kwamba Nigeria wana asili ya kudharau mataifa mengine ya africa lakini amunike amezidi.

Kwanza aliwadanganya tff kwamba yeye alikua mchezaji nyota pale barcelona.. ukweli ni kwamba kwa muda wote miaka 4 amunike alifunga goli moja tuu..

Amunike ni mtu ambaye alizajiliwa kimakosa na barcelona, na sijui alipataje mchongo huo kutoka zamaleki.

Cha pili kila akiongea anajigamba kwamba yeye ni mchezani bora.. ukweli ji kwamba hata huko nigeria sio star... ni mchezaji wa kawaida sana.

Kitendo cha kuwatukana wachezaji ni kuwatukana watanzania.. naamini muda huu huko aliko baada ya kutimuliwa atakua ametutukana sana watanzania hasa viongozi wa tff.


Naomba TFF mtuletee kocha ambaye sio njaa.. anaye ipenda Tanzania, anaye wapenda watanzania. Na anayejua kufundisha mpira.


Na hili lianze na u15 .View attachment 1151753
Nami nakuunga mono
Huyo ni mchezaji mstaafu sio kocha
Ukocha walimpa tu kishikaji..
 
Pamoja na kwamba Nigeria wana asili ya kudharau mataifa mengine ya africa lakini amunike amezidi.

Kwanza aliwadanganya tff kwamba yeye alikua mchezaji nyota pale barcelona.. ukweli ni kwamba kwa muda wote miaka 4 amunike alifunga goli moja tuu..

Amunike ni mtu ambaye alizajiliwa kimakosa na barcelona, na sijui alipataje mchongo huo kutoka zamaleki.

Cha pili kila akiongea anajigamba kwamba yeye ni mchezani bora.. ukweli ji kwamba hata huko nigeria sio star... ni mchezaji wa kawaida sana.

Kitendo cha kuwatukana wachezaji ni kuwatukana watanzania.. naamini muda huu huko aliko baada ya kutimuliwa atakua ametutukana sana watanzania hasa viongozi wa tff.


Naomba TFF mtuletee kocha ambaye sio njaa.. anaye ipenda Tanzania, anaye wapenda watanzania. Na anayejua kufundisha mpira.


Na hili lianze na u15 .View attachment 1151753
Akili za kitoto za kitanzania. Amunike alidanganya, mbona wachezaji wa kitanzania wanashindwa kudanganya na kupata timu za maana huko ulaya?.

Tatizo letu sio ubora wa kocha, ni kiwango duni na kisichokua cha wachezaji tulionao.
 
Akili za kitoto za kitanzania. Amunike alidanganya, mbona wachezaji wa kitanzania wanashindwa kudanganya na kupata timu za maana huko ulaya?.

Tatizo letu sio ubora wa kocha, ni kiwango duni na kisichokua cha wachezaji tulionao.
Hata kocha alikua kikeo.. alikua anatumia muda mwingi kujigamba na kutukana kuliko kuwaelekeza wachezaji
 
Tatizo la Tanzania kwenye kutofanya vizuri siyo Kocha. Tatizo letu kubwa kwenye eneo hilo ni kutowekeza ipasavyo kwenye mpira na hasa shule za michezo. Amunike alikuwa na dakika tano zake kwenye chati miaka ya tisini na alikuwa mchezaji makini pamoja na akina Amokachi, Rashid, Yekini na akina Okocha. Nyota yake ilianza kufifia baada ya kuumia na kulazimika kutumia muda mwingi kutibiwa, lakini alipata ujiko wa kugombewa na timu nyingi tu za ulaya ingawa hakuwahi kuwika tena.

Kufukuzwa kwake kwenye timu ya Taifa wakati huu baada ya AFCON19 si jambo la kushabikia kwa sababu limefanyika kibabe zaidi wakati hakuna njia mbadala kwa sasa. Ni kwa vipi Amunike alifanikiwa kupata tenda ya kuisimamia Taifa Stars pamoja na masharti ya mkataba aliopewa ndio kitu cha kujadili sasa ili kujua kama TFF walimuajiri kwa kufuata sheria na taratibu au alipata tenda kishikaji.

Matatizo yetu kwenye mpira wa miguu ni kukosa wachezaji wengi wenye vipaji kwenye timu ya Taifa. Labda niweke wazi hapa kuwa kwenye hili kuna maslahi ya pande mbili zinazoshindana na kwa hali hiyo hatutaweza kupata matokeo tunayoyatamani kama hatujarekebisha kitu; Hilo ni maslahi ya timu ya Taifa dhidi ya maslahi ya vilabu vya mpira wa miguu.

Zamani miaka ya 70/80 kombe la Taifa lilikuwa na hadhi kubwa kwa taifa na hata Dunia nzima timu za taifa ziliheshimika, baada ya hapo vilabu vya mpira vilikuja kujaza nafasi kwa kutumia nguvu ya pesa ambayo imeshamiri hadi siku ya leo. Hapa ndipo mgogoro ulipo kwa taifa kutaka wachaguliwa kwenye timu ya taifa wacheze kwa ajili ya Taifa Stars kwa viwango vile vile vya vilabuni!....Haiwezekani.

Ili kufanikiwa, tunahitaji kuanza upya kwa kutenga miaka kama mitano hivi tukijiandaa kwa mashindano ya mwaka 2025. Wizara iwekeze kwenye shule za michezo na mashindano ya mpira wa miguu kitaifa yarudishwe kwa kushindanisha mikoa kama ilivyokuwa zamani,na timu ya taifa ichaguliwe kwa kuchukua vipaji kutoka kila mkoa, na sio Simba na Yanga.
 
Mkuu.. kocha ndio kaharibu.. shukuru smata kwa kazi aliyo fanya..

Unaambiwa kocha alikua haambiliki.. ni matusi na masimango kwenda mbele kwa wachezaji..
Tatizo la Tanzania kwenye kutofanya vizuri siyo Kocha. Tatizo letu kubwa kwenye eneo hilo ni kutowekeza ipasavyo kwenye mpira na hasa shule za michezo. Amunike alikuwa na dakika tano zake kwenye chati miaka ya tisini na alikuwa mchezaji makini pamoja na akina Amokachi, Rashid, Yekini na akina Okocha. Nyota yake ilianza kufifia baada ya kuumia na kulazimika kutumia muda mwingi kutibiwa, lakini alipata ujiko wa kugombewa na timu nyingi tu za ulaya ingawa hakuwahi kuwika tena.

Kufukuzwa kwake kwenye timu ya Taifa wakati huu baada ya AFCON19 si jambo la kushabikia kwa sababu limefanyika kibabe zaidi wakati hakuna njia mbadala kwa sasa. Ni kwa vipi Amunike alifanikiwa kupata tenda ya kuisimamia Taifa Stars pamoja na masharti ya mkataba aliopewa ndio kitu cha kujadili sasa ili kujua kama TFF walimuajiri kwa kufuata sheria na taratibu au alipata tenda kishikaji.

Matatizo yetu kwenye mpira wa miguu ni kukosa wachezaji wengi wenye vipaji kwenye timu ya Taifa. Labda niweke wazi hapa kuwa kwenye hili kuna maslahi ya pande mbili zinazoshindana na kwa hali hiyo hatutaweza kupata matokeo tunayoyatamani kama hatujarekebisha kitu; Hilo ni maslahi ya timu ya Taifa dhidi ya maslahi ya vilabu vya mpira wa miguu.

Zamani miaka ya 70/80 kombe la Taifa lilikuwa na hadhi kubwa kwa taifa na hata Dunia nzima timu za taifa ziliheshimika, baada ya hapo vilabu vya mpira vilikuja kujaza nafasi kwa kutumia nguvu ya pesa ambayo imeshamiri hadi siku ya leo. Hapa ndipo mgogoro ulipo kwa taifa kutaka wachaguliwa kwenye timu ya taifa wacheze kwa ajili ya Taifa Stars kwa viwango vile vile vya vilabuni!....Haiwezekani.

Ili kufanikiwa, tunahitaji kuanza upya kwa kutenga miaka kama mitano hivi tukijiandaa kwa mashindano ya mwaka 2025. Wizara iwekeze kwenye shule za michezo na mashindano ya mpira wa miguu kitaifa yarudishwe kwa kushindanisha mikoa kama ilivyokuwa zamani,na timu ya taifa ichaguliwe kwa kuchukua vipaji kutoka kila mkoa, na sio Simba na Yanga.
 
Mkuu.. kocha ndio kaharibu.. shukuru smata kwa kazi aliyo fanya..

Unaambiwa kocha alikua haambiliki.. ni matusi na masimango kwenda mbele kwa wachezaji..
Naomba unitajie kocha atakayekuja kubembeleza mchezaji katika Dunia hii mimi nitakutajia matokeo yake. Hata hizo timu kubwa ukitaka kuaminiwa na kocha ili akupange kwenye mechi yoyote ni lazima ufuate maelekezo ya mtu aliyekabidhiwa kuisimamia timu ambaye ni kocha.Tatizo letu watanzania ni kina "Haambiliki" hasa tukiishapanda chati!.
 
Amonike ameshiriki kukigawa kikosi.......hana sifa za kuwa kiongozi.....

we siku ya kwanza tu eti unatimua wachezaji wakati hata hujaongea nao kujua wana shida gani....akwendeeee!!
 
Mimi nitamkumbuka tu kwa upangaji wake mbovu wa timu! Mfano ile mechi ya marudio kufuzu Afcon dhidi ya Lesotho ugenini!

Nimekua nikimfananisha na yule Martin Noorj! Naye alikua ni chaguo lingine bovu kabisa kufanywa na Tff kwa wakati ule.
 
Wangemweka mtu kama Kanu au okocha hapo hakuna uboshi hao ni mastar.. amonike misimu 4 goli 1?
 
Mfumo wetu una matatizo, wachezaji wetu wengi ni wa viwango vya chini, ila kocha Amunike ni tatizo kubwa zaidi ya mfumo wetu na viwango vya wachezaji wetu. Mfumo mbovu uliajiri kocha mbovu, kocha mbovu akashindwa kuwatumia wachezaji wenye viwango vya chini. Mfumo mbovu umeamua kumtimua kocha mbovu.
 
Watanzania tunaongea as if tuna timu kali kumbe Hamna lolote..

Tumewekwa kundi moja na Algeria na Senegal timu zenye mastaa kibao wanaocheza Man city, Liverpool n.k


Ukiacha hiyo pia timu zina historia ya kushiriki kombe la Dunia na mashindano mengine makubwa

Sasa sisi wabongo AFCON tuu mara ya mwisho kushiriki ilikuwa 1980’s huko ila tunavyolalamika as if ni wazoefu au tuna timu ya maana
 
Naomba unitajie kocha atakayekuja kubembeleza mchezaji katika Dunia hii mimi nitakutajia matokeo yake. Hata hizo timu kubwa ukitaka kuaminiwa na kocha ili akupange kwenye mechi yoyote ni lazima ufuate maelekezo ya mtu aliyekabidhiwa kuisimamia timu ambaye ni kocha.Tatizo letu watanzania ni kina "Haambiliki" hasa tukiishapanda chati!.
Hujui unachotetea bora ukalale amunike siyo kocha wa kuijenga Taifa stars
 
Watanzania tunaongea as if tuna timu kali kumbe Hamna lolote..

Tumewekwa kundi moja na Algeria na Egypt, timu zenye mastaa kibao wanaocheza Man city, Liverpool n.k


Ukiacha hiyo pia timu zina historia ya kushiriki kombe la Dunia na mashindano mengine makubwa

Sasa sisi wabongo AFCON tuu mara ya mwisho kushiriki ilikuwa 1980’s huko ila tunavyolalamika as if ni wazoefu au tuna timu ya maana
Mbona SA wamewatoa egypt na around 80% ni wachezaji wa kawaida sana.. Mkuu kocha ana sehemu kubwa sana ya kufanikisha ushindi.. matusi hayawezi kuleta ushindi
 
Back
Top Bottom