Naumwa sana nyonga na kiuno, Nisaidieni

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana umri 30+ na sijaoa.

Ndugu zangu nasumbuliwa sana na maomivu ya kiuno na nyonga pamoja na hii mishipa ya katikati ya mapaja na kibofu inakua kama inawaka moto na kuna wakati mpaka kichwa kinauma.

Mwanzo ulianza mgongo kwa chini (low back pain) , nimejitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kutumia dawa za maomivu ukaachia. Sasa ni kiuno na nyonga zinauma sana naimepita miezi sita sasa tokea haya maomivu yanipate na sina nafuu yeyote zaidi yanaendelea tuu ndugu zangu

Siwezi kusimama zaidi ya masaa mawili tena na hata nikikaa na experience sana maomivu ya kiuno na nyonga na hii mishipa iliyo katikati ya mapaja.

Nimepima maradhi ya zinaa na UTI sina kabisa.

Naombeni ushauri .
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana umri 30+ na sijaoa.

Ndugu zangu nasumbuliwa sana na maomivu ya kiuno na nyonga pamoja na hii mishipa ya katikati ya mapaja na kibofu inakua kama inawaka moto na kuna wakati mpaka kichwa kinauma.

Mwanzo ulianza mgongo kwa chini (low back pain) , nimejitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kutumia dawa za maomivu ukaachia. Sasa ni kiuno na nyonga zinauma sana naimepita miezi sita sasa tokea haya maomivu yanipate na sina nafuu yeyote zaidi yanaendelea tuu ndugu zangu

Siwezi kusimama zaidi ya masaa mawili tena na hata nikikaa na experience sana maomivu ya kiuno na nyonga na hii mishipa iliyo katikati ya mapaja.

Nimepima maradhi ya zinaa na UTI sina kabisa.

Naombeni ushauri .
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana umri 30+ na sijaoa.

Ndugu zangu nasumbuliwa sana na maomivu ya kiuno na nyonga pamoja na hii mishipa ya katikati ya mapaja na kibofu inakua kama inawaka moto na kuna wakati mpaka kichwa kinauma.

Mwanzo ulianza mgongo kwa chini (low back pain) , nimejitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kutumia dawa za maomivu ukaachia. Sasa ni kiuno na nyonga zinauma sana naimepita miezi sita sasa tokea haya maomivu yanipate na sina nafuu yeyote zaidi yanaendelea tuu ndugu zangu

Siwezi kusimama zaidi ya masaa mawili tena na hata nikikaa na experience sana maomivu ya kiuno na nyonga na hii mishipa iliyo katikati ya mapaja.

Nimepima maradhi ya zinaa na UTI sina kabisa.

Naombeni ushauri .
Mikongo sio mizuri kwa afta
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana umri 30+ na sijaoa.

Ndugu zangu nasumbuliwa sana na maomivu ya kiuno na nyonga pamoja na hii mishipa ya katikati ya mapaja na kibofu inakua kama inawaka moto na kuna wakati mpaka kichwa kinauma.

Mwanzo ulianza mgongo kwa chini (low back pain) , nimejitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kutumia dawa za maomivu ukaachia. Sasa ni kiuno na nyonga zinauma sana naimepita miezi sita sasa tokea haya maomivu yanipate na sina nafuu yeyote zaidi yanaendelea tuu ndugu zangu

Siwezi kusimama zaidi ya masaa mawili tena na hata nikikaa na experience sana maomivu ya kiuno na nyonga na hii mishipa iliyo katikati ya mapaja.

Nimepima maradhi ya zinaa na UTI sina kabisa.

Naombeni ushauri .
Kwa nyuzi zako shida itakua ni stress/dipression mkuu.

Nahisi una maisha fulani hivi ya upweke/emptyness.

Shughulikia afya yako ya akili mkuu.

NB:Kwanini kwenye kila uzi wako ni lazima uandike HUJAOA?
 
Tiba moja vitanda vitakufaa sana inaitwa CERAGEM V3 BED vinafanya massage ya mgongo

Sisi mammalia tuna vertebrates ambazo zimeundwa na vertebrae ni sahani like ni laini na rahisi sana kuharibika.Kutokana na Mkao,Kazi na aina ya ulalaji

Vyuoni na nchi zilizoendelea wamezingatia viti,Kiti kinatakiwa kibonyee au kiwe na kama kashimo kwaajili ya ukaaji wa kiafya

Natamani kuandika mengi ila naelekea nje ya mada kifupi mtoa mada tafuta sehemu ya hivi vitanda

Zaidi Hii tiba ni kiboko ya Magonjwa sugu. Itumie
 
Kwa nyuzi zako shida itakua ni stress/dipression mkuu.

Nahisi una maisha fulani hivi ya upweke/emptyness.

Shughulikia afya yako ya akili mkuu.

NB:Kwanini kwenye kila uzi wako ni lazima uandike HUJAOA?
Upweke sawa ila emptyness hapana mkuu.. kwani nipo busy sana.. nimeona niseme kabisa sijaoa ili nipate ushauri wa kina

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tiba moja vitanda vitakufaa sana inaitwa CERAGEM V3 BED vinafanya massage ya mgongo

Sisi mammalia tuna vertebrates ambazo zimeundwa na vertebrae ni sahani like ni laini na rahisi sana kuharibika.Kutokana na Mkao,Kazi na aina ya ulalaji

Vyuoni na nchi zilizoendelea wamezingatia viti,Kiti kinatakiwa kibonyee au kiwe na kama kashimo kwaajili ya ukaaji wa kiafya

Natamani kuandika mengi ila naelekea nje ya mada kifupi mtoa mada tafuta sehemu ya hivi vitanda

Zaidi Hii tiba ni kiboko ya Magonjwa sugu. Itumie
Sawa mkuu, shukran

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Upweke sawa ila emptyness hapana mkuu.. kwani nipo busy sana.. nimeona niseme kabisa sijaoa ili nipate ushauri wa kina

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Upweke unaleta stress.
Stress inaleta shida nyingi ikiwa ni pamoja na mgongo ndo mana kwenye dawa za mgongo anti depressant huwepo sometimes.

Pia godoro lako laweza kuwa ndo mchawi wako.
Kazi yako pia inaweza kuwa chanzo.
Aina ya kiti unachokalia ofisini chaweza kuwa tatizo.
Aina ya mazoezi pia yaweza kuwa chanzo.
Kuna mazoezi maalumu ya kutibu mgongo.

Dawa za hospital hazitakusaidia sana.Life style change can save you.

NB:Huwa unataja umri na kuwa hujaoa kwenye kila uzi wako na huwa natamani kujua lengo lako
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana umri 30+ na sijaoa.

Ndugu zangu nasumbuliwa sana na maomivu ya kiuno na nyonga pamoja na hii mishipa ya katikati ya mapaja na kibofu inakua kama inawaka moto na kuna wakati mpaka kichwa kinauma.

Mwanzo ulianza mgongo kwa chini (low back pain) , nimejitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kutumia dawa za maomivu ukaachia. Sasa ni kiuno na nyonga zinauma sana naimepita miezi sita sasa tokea haya maomivu yanipate na sina nafuu yeyote zaidi yanaendelea tuu ndugu zangu

Siwezi kusimama zaidi ya masaa mawili tena na hata nikikaa na experience sana maomivu ya kiuno na nyonga na hii mishipa iliyo katikati ya mapaja.

Nimepima maradhi ya zinaa na UTI sina kabisa.

Naombeni ushauri .
Kama unajichua (Punyeto) jaribu kuacha au punguza ,hupelekea maumivu ya viungo mbalimbali hasa mgongo na kiuno.
 
Back
Top Bottom