Naumizwa na mapenzi

Naumizwa na mapenzi

binti madam

Member
Joined
Jul 1, 2017
Posts
32
Reaction score
10
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
 
sio wako mkuu, siku ukimpata wako wala hutakuwa na tatizo. kingine jichunguze na wewe isije ikawa wewe ndo chanzo cha tatizo
 
pole sana hizo ndio changamoto za mapenzi.. inachukua muda mrefu sana kumsahau, halafu inaonesha wewe umempenda kupita maelezo na yeye hajakupenda kihivyo..Cha kufanya vumilia na sahau mdogomdogo..(japo ni ngumu kwa kipindi hiki).. Acha kujipa tabu sana ya kumfikiria mtu ambaye hakuwazi kama unavyomuwaza
 
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo

Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana ghafla

Mapenzi yakawa matamu ila kwa sasa mwenzangu hayuko vile tena na mimi nampenda kumsahau nashindwa naishia kulia tu

Sasa ni four weeks maumivu yako pale pale

Natamani kama kungekuwa na dawa za maumivu ningekunywa
Pole sana
 
Inasikitisha kwa kweli, ndio maisha hayo sali maumivu yatapungua pole pole. Utafika kujiona siku moja na kujishangaa ma kucheka.

Dawa moja pata mtu akupe raha, itatoka hiyoooo na utaona kumbe hata hukumjua miaka yote hiyo ambayo hamkuwasiliana..

Utavuka daraja, kuwa na subira
 
pole sana hizo ndio changamoto za mapenzi.. inachukua muda mrefu sana kumsahau, halafu inaonesha wewe umempenda kupita maelezo na yeye hajakupenda kihivyo..Cha kufanya vumilia na sahau mdogomdogo..(japo ni ngumu kwa kipindi hiki).. Acha kujipa tabu sana ya kumfikiria mtu ambaye hakuwazi kama unavyomuwaza
Very true nilimpenda sana cause the guy ana sifa 3 kuu
1)brain imetulia
2)very romantic
3)very handsome
Ila kikubwa zaidi brain yake ana shule na kitaa
 
Inasikitisha kwa kweli, ndio maisha hayo sali maumivu yatapungua pole pole. Utafika kujiona siku moja na kujishangaa ma kucheka.

Dawa moja pata mtu akupe raha, itatoka hiyoooo na utaona kumbe hata hukumjua miaka yote hiyo ambayo hamkuwasiliana..

Utavuka daraja, kuwa na subira
Ila haya masikitiko hayazidi maumivu ya majizi-CCM yalotufikisha hapa, kila mzalendo leo hii anaumia na matendo ya kikatili ya mijitu ya CCM
 
Poleo jitahidi kujiweka busy ili kupunguza mawazo, pia mshkuru Mungu tu kwa yote na jitahd kusali
 
Back
Top Bottom