caine
JF-Expert Member
- Jul 4, 2015
- 629
- 1,442
Habari zenu wakuu,
Mimi nipo salama ninamshukuru Mungu. Naomba niende moja kwa moja kwa kilicho nifanya niaandike uzi huu ni muda mrefu takribani miaka 2 imepita tangu nilipo achana na mpenzi wangu ambae tulidumu nae kwa muda mrefu na mimi ndio nilikua mtu wa kwanza kufungua usichana wake.
Alitokea kunipenda sana zaidi ya nilivyokua nikimpenda mimi baada ya kumtumia kwa muda mrefu nikajikuta nimemchoka hivyo nikaanza kumfanyia vimbwanga ili tuachane matokeo yake akachoka na lengo langu likatimia. Baada ya kuachana nae nikaanza kufanya mchakato wa kupata msichana mwingine ambae angenifaa.
Hapo ndipo matatizo yalipo anza kila msichana niliemfuata alinikataa wengine hata kwa sababu zisizo za msingi. Nime hangaika sana mpaka ikafika kipindi nikaamua kuachana na kutongoza wanawake kwa sababu nilijikuta nikitumia gharama kubwa sana zisizo za msingi.
Sijajua tatizo ni nini kwa sababu kama sound zipo za kutosha, kipato kinaridhisha sijajua nina kosea wapi. Imefika kipindi napiga malaya tu ila hayo maisha yamenichosha na pia nina hatarisha afya yangu. Sijaandika uzi huu kwa lengo la kutafuta mpenzi bali naomba mnishauri nina kosea wapi ili nijirekebishe na nimpate mwanamke ninaye muhitaji.
Mimi nipo salama ninamshukuru Mungu. Naomba niende moja kwa moja kwa kilicho nifanya niaandike uzi huu ni muda mrefu takribani miaka 2 imepita tangu nilipo achana na mpenzi wangu ambae tulidumu nae kwa muda mrefu na mimi ndio nilikua mtu wa kwanza kufungua usichana wake.
Alitokea kunipenda sana zaidi ya nilivyokua nikimpenda mimi baada ya kumtumia kwa muda mrefu nikajikuta nimemchoka hivyo nikaanza kumfanyia vimbwanga ili tuachane matokeo yake akachoka na lengo langu likatimia. Baada ya kuachana nae nikaanza kufanya mchakato wa kupata msichana mwingine ambae angenifaa.
Hapo ndipo matatizo yalipo anza kila msichana niliemfuata alinikataa wengine hata kwa sababu zisizo za msingi. Nime hangaika sana mpaka ikafika kipindi nikaamua kuachana na kutongoza wanawake kwa sababu nilijikuta nikitumia gharama kubwa sana zisizo za msingi.
Sijajua tatizo ni nini kwa sababu kama sound zipo za kutosha, kipato kinaridhisha sijajua nina kosea wapi. Imefika kipindi napiga malaya tu ila hayo maisha yamenichosha na pia nina hatarisha afya yangu. Sijaandika uzi huu kwa lengo la kutafuta mpenzi bali naomba mnishauri nina kosea wapi ili nijirekebishe na nimpate mwanamke ninaye muhitaji.