Nauliza, TUCTA mpo!?

Mdondoaji

JF-Expert Member
Mar 17, 2009
5,108
1,136
Nimeshangazwa na akina Mgaya kutotoa tamko lolote kuhusu swala la posho ya wabunge kuongezeka maradufu wakati pato la mfanyakazi nchini likipungua kadiri siku zinavyokwenda.

Leo mtanzania mfanyakazi ndio mchangiaji mkuu wa mapato ya serikali, lakini maisha yake yanakuwa magumu kwasababu serikali imekosa ufanisi wa namna ya kuboresha maisha ya wafanyakazi. Wafanyakazi Tanzania wanaumizwa kila sehemu kuanzia VAT, PAYE, Pension, Inflation. Badala yake kama serikali yetu adhimu haielewi imeamua kuongeza maposho ya wabunge kwa asilimia 155%.

Naomba kuuliza vyama vya wafanyakazi vipo? Akina Mgaya mpo?
 
Nimeshangazwa na akina Mgaya kutotoa tamko lolote kuhusu swala la posho ya wabunge kuongezeka maradufu wakati pato la mfanyakazi nchini likipungua kadiri siku zinavyokwenda.

Leo mtanzania mfanyakazi ndio mchangiaji mkuu wa mapato ya serikali, lakini maisha yake yanakuwa magumu kwasababu serikali imekosa ufanisi wa namna ya kuboresha maisha ya wafanyakazi. Wafanyakazi Tanzania wanaumizwa kila sehemu kuanzia VAT, PAYE, Pension, Inflation. Badala yake kama serikali yetu adhimu haielewi imeamua kuongeza maposho ya wabunge kwa asilimia 155%.

Naomba kuuliza vyama vya wafanyakazi vipo? Akina Mgaya mpo?


yaan mi nafanya kazi coz sina alternative try to imagine nafanyakazi bank moja hivi kama benk teller tena headoffice pale post napokea mshahara 375000 na nina advance diploma ya accountance okey my budget

kodi ya nyumba nikiconvert permonth 100000
nauli everyday 600*30 = 18000
vitafunwa evrday 800*30 =24000
lunch everdy 2500*30 = 75000
my girlfriend anasoma(matumizi, mwezi)=100000
umeme na maji =20000
mimi vocha tu kwa mwezi = 75000
wadogo zangu matumizi wanantegemea=150000 kwa mwezi
pombe i mean bia 2@day kwa mwezi = 90000
dinner/matumiz madogo home jioni = 70000 kwa mwezi
SIMPLY TOTAL 722000/=
MY SALARY TAKE HOME 375000/=
DEFICITY 327000

hapo bado dharura sijui mavazi/maji/ michango ya harusi/blablabla........

******...konyo!! sitaacha kumwibia mwajiri wangu mpaka akome.....!!!!
 
yaan mi nafanya kazi coz sina alternative try to imagine nafanyakazi bank moja hivi kama benk teller tena headoffice pale post napokea mshahara 375000 na nina advance diploma ya accountance okey my budget

kodi ya nyumba nikiconvert permonth 100000
nauli everyday 600*30 = 18000
vitafunwa evrday 800*30 =24000
lunch everdy 2500*30 = 75000
my girlfriend anasoma(matumizi, mwezi)=100000
umeme na maji =20000
mimi vocha tu kwa mwezi = 75000
wadogo zangu matumizi wanantegemea=150000 kwa mwezi
pombe i mean bia 2@day kwa mwezi = 90000
dinner/matumiz madogo home jioni = 70000 kwa mwezi
SIMPLY TOTAL 722000/=
MY SALARY TAKE HOME 375000/=
DEFICITY 327000

hapo bado dharura sijui mavazi/maji/ michango ya harusi/blablabla........

******...konyo!! sitaacha kumwibia mwajiri wangu mpaka akome.....!!!!

Sasa pata picha hiyo 375,000 unayoipata kwa mwezi mbunge anaipata kwa siku tatu halafu wewe ndio unatoa kodi yako kumlipa mbunge. Nafikiri TUCTA wanahitajika kutoa tamko kama ni mgomo au maandamano lakini tamko lolote linahitajika haiwezekani hali hii ya maisha magumu iendelee.
 
we bwana we usisubiri mpaka tucta watoe tamko!!! jipige kibiriti hapo hapo ulipo, tena kama unafanya kazi kwa watu wanje ndo balaa maana wao wamekuja kutuibia na wewe waibie!,

kama serikalini wera wera....!!! huko ndo ukiweza beba kabisa na meza hamishia nyumbani!
 
we bwana we usisubiri mpaka tucta watoe tamko!!! jipige kibiriti hapo hapo ulipo, tena kama unafanya kazi kwa watu wanje ndo balaa maana wao wamekuja kutuibia na wewe waibie!,

kama serikalini wera wera....!!! huko ndo ukiweza beba kabisa na meza hamishia nyumbani!

Kwanini nijitie moto wakati nchi yetu inajiita ya kidemokrasia? Kwanini niibe wakati tunachangia TUCTA katika mishahara yetu. Tumewateua na wengine wamekuwa wabunge bungeni wakiwakilisha mawazo ya wafanyakazi wanafanya nini?

Kuiba sio solution ndio maana shughuli za maendeleo zinazorota kwani kila mtu anaiba. Kama wewe ni mmojawapo wa wabunge endeleea kufaidi kodi zetu but iko siku mtapigwa mawe. Haiwezekani mfanyakazi anyonywe kumlipia mbunge sio utu wala busara. Narudia tena Tucta mpo!!!!
 
Trade union to buy shares in the proposed teachers' bank: Mgaya Send to a friend
Wednesday, 23 November 2011 22:20
digg

By Songa wa Songa
BusinessWeek Correspondent
Dar es Salaam. The Tanzania Teachers Union (TTU)'s recently unveiled plan to found a commercial bank has received full backing from the Trade Union Congress of Tanzania (Tucta) which promises to invest in the project.
Tucta secretary genera Nicholas Mgaya told BusinessWeek this week that the umbrella workers' body is behind the project a hundred per cent.

"Workers' bank is such a brilliant idea hatched at the right time by the right source. This is going to be the first workers' bank and we Tucta are going to be the first to buy shares" he said and elaborated why:

"There is no single purely indigenous bank in this country anymore; those appearing so on the outset are indirectly owned by foreigners and I believe this bank is going to be the pride of all Tanzanian workers"

Last week, TTU organised a stakeholders' sensitisation workshop in the city and appealed to Tanzanians from all walks of life to buy shares in the proposed project.

The TTU deputy secretary general Mr Hezekiah Oluoch said during the workshop that the yet to be named bank is projected to operate in all the 21 Tanzania Mainland regions where TTU members work and is scheduled for launch next year.

As the project "promoter", TTU faces the 20 per cent capital investment limit set by the banking sector regulator, the Bank of Tanzania prompting it to raise the remaining 80 per cent outside the union. According to Mr Oluoch, the union owns a subsidiary corporate body; the Teachers' Development Company Limited which apart from implementing the project, will also inject 20 per cent, bringing the total percentage to 40.

He specified that apart from the union fraternity, other potential investors who are welcome to sow their seeds in the project include social security funds, Savings and Credit Cooperative Societies (Saccos) individual businessmen, teachers, other workers in both public and private sector and every one with surplus cash worth investing.

Mr Oluoch who is also the TTU acting secretary general said the union's national council approved the bank investment idea after seeing positive returns to other investments such as the Ilala-based Mwalimu House which he hinted, generated Sh1.1 billion this year alone.

He added that TTU which has 183,000 members from 22,200 schools in Tanzania Mainland has also built two-storey investment buildings in each of the 21 regions as part of its investment strategy, adding the investment revenue comes from 30 per cent of members' monthly deductions while the other 70 goes into union running cost.

"And that's why we have already solved the problem of property rent; what we have to do is support this idea so that we open the door of our first branch next year" he told the attendants who included TTU leaders from other regions, representatives of social security funds, the private sector and businessmen.

The outspoken trade unionist was also quick to allay fears on how the idea was hatched; thrashing the speculation that the project was hurriedly conceived by TTU without expert counsel.

"After our in-house agreement, we duly employed consultants from Ardhi University who did feasibility study in the 16 randomly selected districts and the findings indicated that 92 per cent of teachers approved the idea" he said

He further elaborated that TTU which was registered in 1993 adopted the idea as a means of providing loans to teachers all over the country, adding that the fight for teachers' welfare in the remuneration front alone would not result in real improvement of livelihoods that teachers desire and stressed the mentors who constitute 63 per cent of public servants must look outside the salary box.

Source: The Citizen.
Mtazamo: Nilikuwa nauliza mgaya yuko wapi kumbe yuko busy na kuanzisha benki yake. Kweli tanzania hakuna wenye msimamo wa kutetea mlalahoi.
 
Back
Top Bottom