nasssen
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 482
- 506
Hahahaha....umenkumbusha mbali sana. Mm hiyo kitu nliacha baada ya kuteleza na kuanguka na mama akasema "asante Mungu, nlikuwa nasubiri kwa hamu sana". Aisee, nlijipaka mafuta huku natoa miguno ya maumivu na jazba juu. Kuanzia hapo nlikuwa siendi kuoga bila taulo.