Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
- Thread starter
- #21
Hii itasaidia sana watu kuacha majungu na kuwa negativeKazi za chama ziko nyingi. mnakumbuka wakati wa mchakato wa ubunge Arumeru, yeye alikuwa huko kiwira na kwingine akikampenia madiwan, na wakashinda. mnakumbuka?
Tatizo ukiishakuwa jembe kila ufanyalo watu hulitafsiri kwa miono yao
Kuna kitu kinaitwa division of labour, katika kazi hata ukienda hospitali kila mtu ana kazi yake
Kuna madakitari wa vichaa , wa meno , wa uzazi nk
Huwezi kumlaumu daktari wa meno kwa nini amempita mgonjwa wa moyo bila kumsaidia eti kwa sababu yeye ni dakitari.