Nauliza tu, hivi ni sahihi kufuta kabisa safari za nje?

Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?

Safari zimesitishwa mpaka muongozo mwingine utakapotolewa,vibali vya safari vitatolewa baada ya kupima umuhimu wa safari yenyewe tunatakiwa kuelewa mambo machache tu kwamba safari nyingi zilikuwa hazina tija.....Hina tija kabisa, nini mnachoenda kujifunza? Maoni yangu ni safari zote zisizo na tija zifutwe, pia semina sisizo na tija zifutwe, hivi vi mbinu vya kugawiana allowances yaani amalize kabisa watu wanakufa kwa kukosa dawa maospitalini alafu bado mnatetea safari za kijinga.
 
Sababu kuu ya kufutwa safari ni kwa sababu watu walikuwa wanasafiri kiholela na safari zilikuwa Hazina hazileti umuhimu wowote kwa serikali zaidi ya hao wanaoenda huko ni kula bata tu
 
Kweli kabisa ni lazima Rais mwenyewe akajifunze hayo? Hawezi kudelegate? Hawezi kufanya video conference au virtual tour?

Na by the way, knowledge siku hizi si kitu cha kusafiri kukitafuta.
 
Safari za nje kwa gharama za serikali zimesitishwa isipokuwa zile za dharura. Kwa hela za wafadhili au source zingine nadhani hazina shida
 
Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?

Inategemea na umuhimu wa safari, kuna zile zinazogharamiwa na waliokualika hizo hazina shida. Ila kuna hizo za mafunzo yasiyo na tija, watumishi wengi wa serikali wanaenda kila Mara nchi za nje kwa kisingizio cha kujifunza ufanisi wa wenzetu lkn kwa miaka yote wakirudi hawana jipya, mambo wanaofanya ni yale yale
 
Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?

Zifutwe hazina tija.kwan waliokwenda nje wameleta tija gani
 
Yule mzee wa chato mjanja sana, amekuta kuna safari nyingi ambazo aliziona zimetengenezwa ili watu ajilipe,,, baada ya kushtuka kaamua kuzikata zote.
Yule kichwa sana.
 
Kama mtumishi wa umma nataka kwenda mafunzoni labda Singapore kwa gharama zote kubebwa na mimi au/na shirika la la kimataifa la ufadhili kama vile DANIDA au JICA, nitahitaji kibali pia cha rais mbali na kile cha Utumishi (PMO-PSM)?

Unauliza wakati jibu unalo....mchosho huu sasa
 
Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?

hazina imekaukiwa
 
Per Diem ya safari za nje kwa mtumishi wa serikali ikoje?mimi nipo katika kampuni ya kimataifa, nikisafiri nje ya nchi napewa tiketi,nalipiwa visa na medical check ikiwepo bima ya safari. Vile vile napewa fedha au wana book hoteli, Bed and breakfast.
Matumizi mengine kama lunch, dinner na usafiri najilipia ambapo nikirudi natakiwa kukabidhi matumizi hayo na kurudisha fedha zilizobaki ndani ya mwezi mmoja la sivyo onyo kali litafuata.
 
Naamin ktk maelekezo yake amesema zile za lazima zitapatiwa kibali aidha na yeye au katibu mkuu kiongozi...hii Ina maana kuna ambazo hazikwepeki.
 
Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?

Mkuu yawezekana nawe pia ni muhanga wa kufutwa kwa safari za nje nini;mlizoea kwenda kufanya shoppings United States kila wikendi,this time round imekula kwenu,tena kaeni kimya kabisa.
 
Nilivyomuelewa rais ni kwamba safari za nje hazijafutwa kabisa,ila zitakazokuwepo ni zile za lazima sana tu.Kitu ambacho ni sahihi kabisa.Akaongeza kwamba na hata hizo za lazima ni yeye mwenyewe au katibu mkuu kiongozi watakao toa vibali.Jambo ambalo ni sahihi kabisa.Hapo nyuma serikali ilipoteza fedha nyingi sana za kigeni kupitia kwa watumishi wa serikali wasio waaminifu.Mimi naitambua hali hii vizuri sana kwa kuwa niliishuhudia.

Unapokuwa kwenye extraordinary situations, you need extraordinary actions.Tuko kwenye mazingira magumu sana kiuchumi kwa hiyo we need to be serious na kwa bahat nzuri tumepata rais serious.Rais wangu push on,Uko sahihi kabisa
Nijuavyo mimi kwa upeo wangu kidogo ni kwamba mambo mengine unaweza kupata kuyafanya na kuyajua unapotembelea eneo fulani...mfano unaweza kujifunza vizuri na kwa undani ni jinsi gani Japan wanafanya mambo yao kuleta maendeleo endapo utapata fursa ya kufika hiyo nchi

Sasa swala la kufuta kabisa safari za nje m sioni kama ni jambo la kushabikia moja kwa moja nadhani ilikua kuondoa safari zisizo na tija lakini zile zinazotoa fursa ya mtu kupata elimu ya maendeleo ziwepo..

Jamani mi nisaidieni napata tabu sana kusikia safari za nje kwa viongozi zimefutwa au kuna kitu kinakwepwa?
 
Haaaaaa pesa za dezo haziji tena, mpigieni simu balozi awajuze, au nenda holiday ukajifunze au mpigie magoti Rais akupe ruksa tena kwa pesa zako.
 
Back
Top Bottom