Leo spika Makinda aliwapatia wabunge wa upinzani nafasi ya kuomba miongozo, halafu akaikataa miongozo yote, then akasema nimewapa nafasi hawa wenzetu waongee, ili kuuonyesha umma kuwa wao ndio wanaofanya wananchi wasiangalie bunge. Pia waandishi wa wahabari waache kuripoti kinazi, na kuponda uongozi wa spika na naibu wake, pamoja na wenyeviti;
Je ni kweli kuwa tunaacha kuangali bunge kwa sababu ya hoja za wapinzani ni mfu, au ukandamizaji unaofanywa na hao viongozi wa bunge wanaotoka CCM?
Naombeni mnisaidie..........
Je ni kweli kuwa tunaacha kuangali bunge kwa sababu ya hoja za wapinzani ni mfu, au ukandamizaji unaofanywa na hao viongozi wa bunge wanaotoka CCM?
Naombeni mnisaidie..........