QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kwa muda mrefu kumwkuwa na thread kuwa wengi wa wanaokuja katika kampeni za CCM na JK mbali na kushangaa kuwa mgombea mmoja anaweza kusafiri kwa herikopta 3 lakini kuna tetesi kuwa huwa wanasombwa kwa maroli. Mimi sitaki kuamini hata kidogo. je yupo ambaye ana picha atuwekwee tuone maroli yakileta watu mkutanoni?
Karibu mwenye uthibitisho
:director:
Karibu mwenye uthibitisho
:director: