Nauliza kuhusu post za vyuo vya Afya

Nauliza kuhusu post za vyuo vya Afya

Olbano

Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
23
Reaction score
2
Samahani naomba kuuliza kwa mujibu wa NACTE kuna vyuo ambavyo vitachukua wanafunzi kuanzia April 2016 na vinatakiwa kuanza tar 18 mwez huu lakini mpaka sasa post bado nani anajua kwa undani swala hili?
 
Vuta subira zinakuja soon. Kwa taarifa nilizonazo haitafika jtatu
 
pita muhimbili allied health sciences school kuna tangazo nadhani limewekwa jana kama sio juzi maombi through mtandao nectar I think
 
Kwa wale walioomba vyuo vya mwezi wa nne majibu tayari check kupitia profile yako.
 
Kwa wale wa programme za april kama zilivyoonyweshwa kwenye site ya nacte walipata zinaonekana
 
Kwa wale wa programme za april kama zilivyoonyweshwa kwenye site ya nacte walipata zinaonekana
Ni kweli kaka but siwaelewi naona yangu haisomi wakati nimeomba kwa ajili ya april
 
Chuo gani? Maana matokeo ni yale ya vyuo vilivyoorodheshwa kwenye tangazo la website ya nacte
 
Niambie ni vyuo gani uliomba nikusaidie kuangalie kama vipo kwenye list
 
Niambie ni vyuo gani uliomba nikusaidie kuangalie kama vipo kwenye list
Kwenye list hakipo bt wao chuoni wanasema wanachukua intake mwenzi wa 4..mfano school of operative and management mbeya
 
Basi sio kweli maana ni matokeo ya hivyo vyuo pekee ndio rasmi kwa intake ya april according to wahusika na ndio yaliyotolewa
 
Cha muhimu we cheki Email huwa ndo chuo husika wanakutaarifu mapema kama wamekuchukua ila kwa upande wa profile huwa inachelewaga kwa baadhi ya wa2
 
Mbona na mm bado sijaona wameandika vile vile now waiting for selection au ni sehemu gani kwny profile mmeona wenzangu
 
Back
Top Bottom