Nauliza kuhusu Application za Grade A

multitalented123

Senior Member
Nov 30, 2015
126
47
inaonekana mwaka huu kama vijana wamechelewa sana kuapply nafasi mbalimbali za masomo katika vyuo vya serikali, hii ni kulingana na kuwa miaka ya nyuma hasa mwaka jana hasa kwa wanfunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka huu na hawajafanikiwa kufaulu kujiunga na masomo ya secondary ya juu (Advance) ni lini wanaanza kutuma maombi?? nimejaribu kuingia kwenye tovuti ya necta sijaona....
lakini pia application za loan board zimefikia wapi help please
 
Mkuu binafsi sijakuelewa. Ila applications kwenda vyuo umeshaanza kwa ngazi ya Astashahada na stashahada (certificate and diploma) na wengine tayari wapo vyuoni.

Kuhusu applications za mkopo bado system haijafunguliwa lakini soon tu itafunguliwa.
 
Mkuu kwanza hiyo grade A imeshafutwa kwa sasa ni stashahada ya elimu ya msingi kwa miaka mitatu. Kuhusu application zilianza Muda mrefu toka mwanzoni mwa mwezi machi na mwisho wake ni mei 31. Pia sio kuapply necta bali ni Nacte kwa ada ya maombi ya sh 20000 tu.
 
Back
Top Bottom