Nauliza Itilo sec school nzega mjini

Nauliza Itilo sec school nzega mjini

Nenda kafundishe kwa moyo wote Nzega wakalimu mno,pia maisha nimarahisi sana,chumba unapata kwa elfu 15/20 kizuri tu.Maji yakunywa simple sana kuyapata mengi kwa gharama ndogo,ndoo kubwa ya maji sh 100.Pia nimetokeko hivi karibuni ingawa nimekaa wiki 2 sikuona umeme kukatika.
Kaka samahani shule hii kubwa sana au za kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu kijana kwenye kazi yenye stress dunia nzima...weka malengo baada ya kipindi fulani ukimbie huko...sitasahau hii kazi ilichonifanya haki ya mungu
 
Back
Top Bottom