Nauliza Itilo sec school nzega mjini

Nauliza Itilo sec school nzega mjini

Brother kumbe si mbali sana from town to that areas ni mia ngap au bodaboda mia tano buku jero

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mbali sana nawatu wengi wanakaa Nzega mjini wanaenda kusoma Itilo Sec,kwa boda boda ni buku jero..Pia ukiwa njiani ukaomba hata lift ya gari zinazoenda Tabora hice,Kwa dsm mnaita (daladala) unapewa lift bure.Shule haiko mbaali sana na barabalani.
 
Sio mbali sana nawatu wengi wanakaa Nzega mjini wanaenda kusoma Itilo Sec,kwa boda boda ni buku jero..Pia ukiwa njiani ukaomba hata lift ya gari zinazoenda Tabora hice,Kwa dsm mnaita (daladala) unapewa lift bure.Shule haiko mbaali sana na barabalani.
Poa poa naenda kuwasaidia watoto wa mama (WANYAMWEZI)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbali sana nawatu wengi wanakaa Nzega mjini wanaenda kusoma Itilo Sec,kwa boda boda ni buku jero..Pia ukiwa njiani ukaomba hata lift ya gari zinazoenda Tabora hice,Kwa dsm mnaita (daladala) unapewa lift bure.Shule haiko mbaali sana na barabalani.
Mm sio wa DSM HATA KAMA NMESOMA UDSM SIKU ZOTE NTAKUWA MTOTO WA USHETU KAHAMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa poa naenda kuwasaidia watoto wa mama (WANYAMWEZI)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kafundishe kwa moyo wote Nzega wakalimu mno,pia maisha nimarahisi sana,chumba unapata kwa elfu 15/20 kizuri tu.Maji yakunywa simple sana kuyapata mengi kwa gharama ndogo,ndoo kubwa ya maji sh 100.Pia nimetokeko hivi karibuni ingawa nimekaa wiki 2 sikuona umeme kukatika.
 
Nenda kafundishe kwa moyo wote Nzega wakalimu mno,pia maisha nimarahisi sana,chumba unapata kwa elfu 15/20 kizuri tu.Maji yakunywa simple sana kuyapata mengi kwa gharama ndogo,ndoo kubwa ya maji sh 100.Pia nimetokeko hivi karibuni ingawa nimekaa wiki 2 sikuona umeme kukatika.
Brother naenda bila wasiwasi nataka nasi tusome bwana nmemshukuru mno Mwenyezi Mungu kwa kunipeleka pale next week waandae misemo"KARIBU MWALIMU WA PHYSICS NA MATH'S""JISIKIE UPO NYUMBANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom