Tumezoea kama tunasafiri kwa ndege Mwanza to Dar, kupewa bite au kinywaji
Sasa katika lisaa au masaa 2, chakula cha nini?
Kuwa na chaguo...watakaopenda bite au kinywaji wanunue cash kuliko kuweka kwenye bei ya ticket
Tutoe maoni ili ATCL ifanikiwe
Sasa katika lisaa au masaa 2, chakula cha nini?
Kuwa na chaguo...watakaopenda bite au kinywaji wanunue cash kuliko kuweka kwenye bei ya ticket
Tutoe maoni ili ATCL ifanikiwe