vCTRMA
JF-Expert Member
- Jan 12, 2016
- 306
- 102
wa tz waoga sana,..upo ndani ya sheria,.makonda wanavunja sheria alafu baada ya kusimamia haki yako mtu unanungunika na kulalamika,..sasa ulitaka nani akusaidie kukulipia nauli na kupunguza nauli,...usitegemee kiongozi kwakila jambo simamia haki yakooooooo mtz