Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Hivi serikali imepandisha lini nauli za daladala?
Ninachokijua mafuta yameshuka bei na nauli ni zile zile cha ajabu kuna daladala zimeongeza 100 nyingine 150, na nyingine 50.
Ninachokijua mafuta yameshuka bei na nauli ni zile zile cha ajabu kuna daladala zimeongeza 100 nyingine 150, na nyingine 50.
Last edited by a moderator: