Hazikubaliki.
Nauli za DART zisizidi 200/=
Mtu mzima au mtoto route yoyote ile.
mkuu je umewafikiria na wanafunzi ???
Hii nchi ya hovyo sana ilikuwa msaada sahiz imekua biashara
uuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiHazikubaliki.
Nauli za DART zisizidi 200/=
Mtu mzima au mtoto route yoyote ile.
hahaha piga jibu ambalo magufuli angelitoa kwa wanaosema nauli hizo ni ghali kama ngekuwa hagombei urais au huu ungekuwa sio mwaka wa uchaguzi.
Hazikubaliki.
Nauli za DART zisizidi 200/=
Mtu mzima au mtoto route yoyote ile.