SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
Wakala wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam ( DART ) ambao watatoa huduma ya usafiri wa umma katika njia na miundombinu ya DART katika kipindi cha mpito wamependekeza viwango vipya vya nauli kama ifuatavyo;
Kabla ya kufikia uamuzi wa kuridhia viwango hivyo vipya vya nauli, SUMATRA imeandaa mkutano ili kupokea maoni toka kwa wadau mbalimbali utakaofanyika September 15, ukumbi wa Karimjee, DSM kuanzia saa 3 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Kabla ya kufikia uamuzi wa kuridhia viwango hivyo vipya vya nauli, SUMATRA imeandaa mkutano ili kupokea maoni toka kwa wadau mbalimbali utakaofanyika September 15, ukumbi wa Karimjee, DSM kuanzia saa 3 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.