RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,806
- 129,654
Jibu sahihi ni kwamba route hio inatumia TRUNK roads. Ni kama ukioandia Fire ushuke Magomeni.Hapo nimeelewa mkuu ila ni kuibia abiria anayeenda muhimbili kwa kushindwa ku control abiria wa hiyo route