Nature preserved! Only for nature lovers

Kwani matumizi ya mkaa, mbao, kuni na kilimo kila siku zinateketea hekta ngapi za miti? Kama umeshafika hapo kwenye Bwawa hakuna athari kubwa kama wanasiasa na wanaharakati walivyokuwa wanatishia, tunakata miti kila kukicha na hatulalamiki
Kila mwaka hapa Tanzania hekta za misitu na mapori 465,000 zinapotea kwa kufyekwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…