Habari zenu wakuul ?eo ni mara ya pili nimepata offer ya shilingi erlfu kumi toka airtel kwenye intert,mara ya kwanza nilipata lakini nikashangaa kifurishi nilicholipa kilipoisha ikakata na leo keshatahadharisha muda wa kifurishi unaisha wakati offer ya elfu kumi bado sijaitumia.Je nasubscribe vipi ili niitumie hiyo offer please anaejua naomba mwongozo.
mkuu ndetichia nashukuru ila huwezi jua labda huku kuna employee au yeyote customer care siku hizi wanazingua that is why i will never bother to call them
Habari zenu wakuul ?eo ni mara ya pili nimepata offer ya shilingi erlfu kumi toka airtel kwenye intert,mara ya kwanza nilipata lakini nikashangaa kifurishi nilicholipa kilipoisha ikakata na leo keshatahadharisha muda wa kifurishi unaisha wakati offer ya elfu kumi bado sijaitumia.Je nasubscribe vipi ili niitumie hiyo offer please anaejua naomba mwongozo.