Bonge Mpya
Member
- Jul 6, 2021
- 38
- 128
- Thread starter
- #21
Sijatangaza BIASHARA ya kutengezeza blog. Nime-share uzoefu wangu kuhusu blog. Kama ulivyosema, sio KAZI rahisi hivyo Na-share uzoefu wangu Ili kama Kuna mtu anapata shida sehemu iwe rahisi kutatua.Umeanzia mbali kweli kweli, lakini hatimae kama ilivyo ada ya mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani, na wewe umerejea ''ngamani'' ambako unatafuta wateja wa kuwatengenezea blog. Kiuhasilia mambo siyo rahisi kama unavyosema hapa. Hii haina tofauti ni kilimo cha online!