Natubu nilikula kuku na mayai

Status
Not open for further replies.
hahaa mie nakumbuka stori ya uncle wangu,mme wa my aunt
yeye alikuwa kamuoa ant yangu halafu akatembea na mdogo wake
mke wake ambae pia ni anti yangu............
ilikuwa kivumbi ile mbaya,
 
kwa kuangalia jinsi ulivyoandika haioneshi kama una nia ya dhati kutubu, kumbuka hukutukosea sisi. umemkosea boss wako na Mungu wako, hao ndio unaopaswa uwaombe msamaha. sisi hatuna uwezo wa kukusamehe

mungu anasamehe ni kweli,
ila sometimes you just wish to share with people
your story ili japo uweze kupata a certain relief!!!!!
 
Vp? Huyo mamamtu? Yupo hot? Au?
 
mungu anasamehe ni kweli,
ila sometimes you just wish to share with people
your story ili japo uweze kupata a certain relief!!!!!

i can agree with you, but that should come after repenting to God. as human being we keep on sinning but when we recognize we are wrong it is good to turn back to God. He alone can grant us with true peace and give a permanent relief.
 
Omba msamaha kkwa Mungu kwamba ulitereza kwenye dimbwi la dhambi...na ki bin adam ulikuwa unajiliwaza na shida zako za maisha kufanya vile ulijiona na wewe mko level moja sababu mnabadilishana maungo!ungeomba usaidiwe kimaisha hata kwa kukusomesha kitu ambacho kingekufaa maishani!!au uliona ufahari kuwaingia tu?
 
i can agree with you, but that should come after repenting to God. as human being we keep on sinning but when we recognize we are wrong it is good to turn back to God. He alone can grant us with true peace and give a permanent relief.

Thanks for the preach........
 
Ahaha...as long as yai halikuwa bichi then it was fine!
 
naomba namba ya hilo lijimama
 
Jana jioni nilikuwa nasikiliza redio moja hapa jijini ya Wapo FM...kulikuwa na taarifa mbili tofauti zenye kukaribia kufanana na hii ila katika zile habari ni Baba mtu kutembea na binti hadi mke kuamua kukikmbia nyumba kukwepa aibu...

Pita ndugu yangu.
Yapo haya na ni rahisi sana kutokea.
Tuombe neema za Mungu
 
Hadith hii kakufundisha nani?
 
ongera sana kijana kwa ujinga wako,hila nani alikuwa sweet kati ya mtoto na mama?
 
Mfanyakazi wa serikalini halafu ukapewa nyumba na bosi kazi yako kuu kufungua geti? Samahani kazi yako ni ipi hasa serikalini?
 
Inabidi ukamwombe msamaha boss wako kwanza ndiye uliyemsaliti.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…