falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
Kama mnavyojua kakaenu maisha yamenifikisha hapa kenya hivyo sina budi coz natafuta life,sasa kama mnavyojua ukiwa mgeni pahali utajulikana tu, basi nilipofika hapa mwanzo nilipata suport kubwa kutoka kwa wanawake sababu wengi wao wanapenda lafudhi ya kitanzania, hivyo nikajikuta napata misaada mingi kutoka kwa wanawake.
Sasa ikatokea nimeanzisha mahusiano na mama mmoja wa kiarabu kanizidi miaka 13 lakini ukimuona ni kama binti wa miaka 18, huyu mama anaishi na binti yake na house girl na mtoto wake wa kiume hakai hapo hivo alinambia nikakae kwake, basi ikatokea siku mmoja mchana kwa bahati mbaya tulipokuwa tunafanya mapenzi yule mama.
Mtoto wake wa kiume akafungua mlango wa chumba cha mamake bila tahadhari akatukuta tupo katikati ya mechi na mamake yupo juu yangu, tulishtuka sana tukajifunika shuka huku yule mama akimfokea kijana wake kwamba atoke nje, mbaya zaidi yule kijana umri tunafanana, kila nikikumbuka roho inauma sana, sasa hivi nimeachana na yule mama na nimehamia kwangu. Mungu anisamehe na kesho naenda Kanisani.
Sasa ikatokea nimeanzisha mahusiano na mama mmoja wa kiarabu kanizidi miaka 13 lakini ukimuona ni kama binti wa miaka 18, huyu mama anaishi na binti yake na house girl na mtoto wake wa kiume hakai hapo hivo alinambia nikakae kwake, basi ikatokea siku mmoja mchana kwa bahati mbaya tulipokuwa tunafanya mapenzi yule mama.
Mtoto wake wa kiume akafungua mlango wa chumba cha mamake bila tahadhari akatukuta tupo katikati ya mechi na mamake yupo juu yangu, tulishtuka sana tukajifunika shuka huku yule mama akimfokea kijana wake kwamba atoke nje, mbaya zaidi yule kijana umri tunafanana, kila nikikumbuka roho inauma sana, sasa hivi nimeachana na yule mama na nimehamia kwangu. Mungu anisamehe na kesho naenda Kanisani.