SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Hodii Young Master samahani namuomba keo cacico chemba kidogo nataka nimlipe deni lake lileeeee?
Last edited by a moderator:
Fixed Point, na jinsi ambavyo ukiwauliza watu wote jukwaani watakuambia mentor ndo mkaka mpole na mstaarabu kuliko wote.mmmmmh, mimi kama kawaida yangu, kila siku kuchelewa.......... haya basi wameshamwacha mkeo Young_Master?
ushauri tu, deal na huyo mkeo ndani, ukianza kuwasakama akina babu Asprin, Bishanga, Mentor, Erickb52, kesho onyo litaenda kwa akina The Boss, Baba_Enock, ......, next time ......... si mwisho utagombana na wakaka wote humo ndani?
mmmhhh! jamani nikipewa talaka utanioa?? mnapenda tu kutubeba tukiwa kwa waume zetu, vikinuka weeee hatuwaoni! jamani deni gani tena kha!?Hodii Young Master samahani namuomba keo cacico chemba kidogo nataka nimlipe deni lake lileeeee?
kwanza ile pm ya juzi uliyonitumia, bado kdg ilete tafrani, Mentor taratibu basi, kha!Fixed Point, na jinsi ambavyo ukiwauliza watu wote jukwaani watakuambia mentor ndo mkaka mpole na mstaarabu kuliko wote.
Si ndiyo cacico? eti babu Asprin...
Hodii Young Master samahani namuomba keo cacico chemba kidogo nataka nimlipe deni lake lileeeee?
Young_Master, kaka huoni ni jinsi gani ninavyomuongelesha kwa heshima mrembo cacico!??Mentor nakuona ujue. ohooooo!!! ntakugeuza kuwa lunch...Shauri yako.
mmmhhh! Jamani nikipewa talaka utanioa?? Mnapenda tu kutubeba tukiwa kwa waume zetu, vikinuka weeee hatuwaoni! Jamani deni gani tena kha!?