Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
kumbe Cacico ni mwanamke?
nilikuwa sijui...
kumbe Cacico ni mwanamke?
nilikuwa sijui...
Vipi mkuu??
Unahisi umepitwa kitu?
poa Kipipi mzima wewe?
nope
isije kuwa mkewe ndo alikuwa anatamani tujue kuwa ni mwanamke na mzuri
so mume katumwa kutoa promo bila kujijua
maana biashara matangazo
Mie niko pouwaa kabisa!
Sasa ndugu, kwa mtindo huo utalalamikia wangapi? Manake mwanamke kutongozwa hiyo ni given kama pie atii!
Ni bora ungechonga vema na mkeo, ili kuepuka mabazazi!
Sasa The Boss mbona unachochea ukuni tena wakati tayari ulikuwa umeshazimika?
hii tag list yako duh
womens watupu
huyo mkeo kazi ipo..
teh teh teh. The Boss mbona kama unanunuwa case? wote wanawake kwenye list?
mie tu nashangaa kwa nini katag hao watu hapo chini, hivi wanahuu kweli? kama mm alishanikatalia.
Young_Master come this way papito. cacico saizi kalala. mwaaaaah.