Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,169
countries foot the bill for the war. The bill rises to $ 480 billion.[equivalent to 50 years of petrol]
Hiyo data ya 50 years si ya kweli na aliyeiandika hivyo amefanya kwa dhumuni la sensitization.
1. Libya imekuwa ikipata about $90bn per year kutokana na mauzo ya mafuta.
2. Mathematically and from a fact that uchumi wa Libya unategemea entirely mafuta na gas. $480bn in 50 years ni sawa na $9.6 bn per year, hela amabayo hata bongo tukiwa siriaz kukusanya kodi tunaipata.