The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Wasalam tena ndugu mwana JF za ndani kabsa kutoka katika vyanzo vya karibu na rais wa Ukraine vinasema rais volodymir Zelensky anapanga kujisalimisha mbele ya putin ili kuepusha umwagaji damu wa raia wa ukraine.
Haya yanaripotiwa baada ya simu ya pamoja ya volodymir zelensky rais wa US Donald Trump na viongozi wa ulaya na katibu mkuu wa NATO M ark Rutte.
Makubaliano hayo yatafanyika katika mkutano unaotrarajiwa kufanyika umoja wa falme za kiarabu baina ya rais Putin, Trump na zelensky
Haya yanaripotiwa baada ya simu ya pamoja ya volodymir zelensky rais wa US Donald Trump na viongozi wa ulaya na katibu mkuu wa NATO M ark Rutte.
Makubaliano hayo yatafanyika katika mkutano unaotrarajiwa kufanyika umoja wa falme za kiarabu baina ya rais Putin, Trump na zelensky