NATO: Jeshi la Urusi bado liko imara

NATO: Jeshi la Urusi bado liko imara

Kwa hiyo kuniita mropokaji ndo mjadala na hoja sio?

Usinitolee povu mm nimeleta habari kwa kumnukuu kamanda mkuu wa NATO na ushahidi nimeweka kwa kuweka screen shot ya habari kutoka BBC, sasa yeye anapo kuja na kusema ni propaganda unataka nimueleweje?
Ushoga uliingiaje humu ? Kwann usngetumia term sahihi kuonesha haupo kama alivyokuainisha

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kichekesho hiki tubonyeze ngap mkuu? Anyway hivi Mrusi alisema hii vita anamaliza ndani ya Muda gani vile na bado unatuambia tu - trust time?
Mmarekani aliwadanganya sana Ila urusi ujuwe kuanzia Leo ndio mbabe wa NATO na MAREKANI WENU TRUST TIME
 
Mmarekani aliwadanganya sana Ila urusi ujuwe kuanzia Leo ndio mbabe wa NATO na MAREKANI WENU TRUST TIME

Bado sana, NATO hawaja deploy troops to ukraine officialy. Just wametupa vifaa ukraine navyo si 100% full.

Ungesema ni mbabe kama nato yote ingepeleka na wanajeshi full against urusi only.
 
Back
Top Bottom