Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,719
- 3,284
Kuna mashoga wanakojoa na kukojolewa.mpiga nyeto anakojoa
shoga anakojolewa
Mpiga nyeto naye sio mwanaume kamili.
Kuna mashoga wanakojoa na kukojolewa.mpiga nyeto anakojoa
shoga anakojolewa
Kabisa, kama afande Rama, mpaka mke alikua naye na watotoKuna mashoga wanakojoa na kukojolewa
asiyepiga nyeto, akakomaa na nyuchi, akaukwaa, akameza mbaazi za milele ni mwanaume kamili nakubaliMpiga nyeto naye sio mwanaume kamili
Kwa hiyo tumsikilize jiwe au huyo kamanda?Magufuri aliwai kusema ukiona unasifiwa na adui rudi nyuma, ujiulize ni wapi ulipokosea, lakini ukiona adui anakusema vibaya au anakuchukia ujue umempiga kisawasawa"
Kwa hizo ni propoganda tuu
Urusi awamwagia mbegu nzito wote haoKamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.
Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.
Chanzo BBC swahili.
View attachment 2622411
Wewe huogopi kuukwaa isipokuwa huwezi kuimbisha upewe...hujakamilika.Kabisa, kama afande Rama, mpaka mke alikua naye na watoto
asiyepiga nyeto, akakomaa na nyuchi, akaukwaa, akameza mbaazi za milele ni mwanaume kamili nakubali
Hapana, Nyeto ni Bora kuliko GonoWewe huogopi kuukwaa isipokuwa huwezi kuimbisha upewe
Naona mmepataka kichaka cha kujifariji. Angeongea kinyume na hapo ungedai ni west propaganda.Kwa hiyo wewe unajua kuliko kamanda wa NATO?
Washirika hewa wa Putin wote ni wehuNaona mmepataka kichaka cha kujifariji. Angeongea kinyume na hapo ungedai ni west propaganda.



Jiwe kivipi mbona kitu kidogo hicho kuelewa hakihitaji maelezo mengi au chuki Binafsi zinakuumiza nduguKwa hiyo tumsikilize jiwe au huyo kamanda?
Bado haujajibu swali mkuuJiwe kivipi mbona kitu kidogo hicho kuelewa hakihitaji maelezo mengi au chuki Binafsi zinakuumiza ndugu
Mtu ukipigana naye kama una mpango wa kumwua ukamtwanga hadi akaanguka nchini na kupumua kwa shida lengo lako kama ni kumuua ukiulizwa na waandishi wa habari utawaambia bado yuko imara sababu unamuona bado anapumuaHabari hii ni mbaya sana kwa wamarekani wa JF
Kwenye hiyo Kauli ambayo JPM alisema Kuwa Adui akikushangilia (anakusifia) rudi nyuma ujiulize n wapi ulipokosea,, lakin ukiona anakusema vibaya basi ujue umempiga,Bado haujajibu swali mkuu
Wangapi watakuelewa mkuu - wengi wao wanafikiri asubuhi moka Putin alikirupuka kitoka usingizini na ku-excute massive pre emptive strike dhidi ya jeshi la Ukraine na maafisa wa baadhi ya troops wa jeshi la NATO/USA walio kuwa wamejipanga vilivyo kushambulia kusini mashariki mwa Ukraine mwezi wa February lakini jeshi la Putin likawawahi - kwa kuwaipango yao ya kidhalimu zidi ya Urusi inafahamika nenda rudi si rahisi kuwashtukiza Warusi - watajibu mapigo kwa kiwango cha kutisha pale usalama wa Taifa lao utaonekana unafikia kikomo cha kuhatarishwa na mabeberu - hapo ndipo USA itamjua kiundani jeshi la Urusi ni la kiwango/uwezo upi - hapa tnajisemea tu kwamba sijui USA zaidi wakati wala USA haijawahi kupigana vita na a military strong Nation like Russia and China - wengi wanazungumza mambo ya kubuni tu baada ya kuangalia make believe movies za HollyWood na propaganda za CNN,BBC,FoxNews,SkyNews na Al Jazeera maiigizo tu hawazungumzii WW3 ikifumuka patatokea nini Duniani.Urusi ilijiandaa mda mrefu, haukukurupuka kuivamia Ukraine
Naam,wewe ndo umechambua vizuri.Wanamsifia ili ajae wa Mbamize vizuri
Naona unatumia nguvu nyingi sana kutetea uongo. Huyo kamanda alichosema kamaanishaKwenye hiyo Kauli ambayo JPM alisema Kuwa Adui akikushangilia (anakusifia) rudi nyuma ujiulize n wapi ulipokosea,, lakin ukiona anakusema vibaya basi ujue umempiga,
NATO na Urusi ni pande mbili ambazo hazielewan kwa sabab ya uvamizi ambao Urusi ameufanya Ukraine kwaiy hao n kma madui so inapotokea NATO anamsifia Urusi Kuwa Bado yupo imara ndo tnarudi kwenye hiyo Kauli Kuwa Adui akikushangilia ujue haupo sahihi jiulize ni wapi Kuna mistake
Kwenye kauli nilo andika ya JPM ndo nilikua na maana yangu hiyo
Kwenyee hapo sjui tusikilize jiwe au Kamanda, kwanz huyo jiwe simfaham labda nikulize www
Mkuu unaelewa maana ya kamanda?Kwani kamanda wa NATO ndiye msemaji wa NATO?? Hayo aliyosema kama ni kweli yametoka kinywani mwake, hayo ni maoni yake binafsi. Tusubiri vita iishe ndio tufanye tathmini.
Hakua magufuli, alikua nyerere.Magufuri aliwai kusema ukiona unasifiwa na adui rudi nyuma, ujiulize ni wapi ulipokosea, lakini ukiona adui anakusema vibaya au anakuchukia ujue umempiga kisawasawa"
Kwa hizo ni propoganda tuu
Mkuu, Jeshini kuna makamanda (COs)wengi sana na kwa ngazi (Ranks)tofauti-tofauti. Labda kama ulimaanisha Commander in Chief of the Armed Forces.Mkuu unaelewa maana ya kamanda?
Propaganda tupu.Habari yako yote haina Jina la huyo Kamanda Kazi yako Ni Kurupoka tu.Kamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.
Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.
Chanzo BBC swahili.
View attachment 2622411
Ukiona mtu mzima anaanza kurusha matusi na kelele nyingi wakati mjadala bado unaendelea kistaarabu ujue tayari ameshafilisika kimawazo- Hana point tena; yaani amefikia pale wanaita End of Thinking Capacity au kwa kifupi wanaandikaga "etc".Sina muda wa kubisha na shoga mm.