ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 7,106
- 19,449
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo kuniita mropokaji ndo mjadala na hoja sio?Ukiona mtu mzima anaanza kurusha matusi na kelele nyingi wakati mjadala bado unaendelea kistaarabu ujue tayari ameshafilisika kimawazo- Hana point tena; yaani amefikia pale wanaita End of Thinking Capacity au kwa kifupi wanaandikaga "etc".
Usinitolee povu mm nimeleta habari kwa kumnukuu kamanda mkuu wa NATO na ushahidi nimeweka kwa kuweka screen shot ya habari kutoka BBC, sasa yeye anapo kuja na kusema ni propaganda unataka nimueleweje?
