NATO: Jeshi la Urusi bado liko imara

NATO: Jeshi la Urusi bado liko imara

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
7,104
Reaction score
19,441
Kamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.

Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.

Chanzo BBC swahili.


Screenshot_20230515-090848.jpg
 
Kwa hiyo wewe unajua kuliko kamanda wa NATO?
Kwani kamanda wa NATO ndiye msemaji wa NATO?? Hayo aliyosema kama ni kweli yametoka kinywani mwake, hayo ni maoni yake binafsi. Tusubiri vita iishe ndio tufanye tathmini.
 
Kamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.

Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.

Chanzo BBC swahili.


View attachment 2622411
Propaganda tupu.
 
Magufuri aliwai kusema ukiona unasifiwa na adui rudi nyuma, ujiulize ni wapi ulipokosea, lakini ukiona adui anakusema vibaya au anakuchukia ujue umempiga kisawasawa"

Kwa hizo ni propoganda tuu
 
Kamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.

Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.

Chanzo BBC swahili.


View attachment 2622411
Anasagia tu huyo, Biden juzi amesifu kazi kubwa inayofanywa na jeshi Ukraine wanataka wanajeshi waliobaki Urusi waingie mzigoni na kumalizwa malizwa
 
Kamanda mkuu wa jumiaya ya kujiami ya nchi za Magharibi nato amebainisha kuwa licha ya hasara iliyo ipata Urusi kwenye vita nchi Ukraine bado haionekani dalili yeyote ya jeshi lake kudhohofika.

Kamanda huyo ameendelea kwa kusema kwa sasa Urusi ina vitengo vingi vya kijeshi vyenye siraha za kisasa vilivyo tiyari kwa mapambano kuliko hata kipindi ambacho ilikuwa haijaivamia Ukraine.

Chanzo BBC swahili.


View attachment 2622411
Upuuzi mtupu - kukimbilia kuitangazia Dunia hasara Urusi iliyoipata katika vita hii, lakini ukimuhoji na huko Ukraine mambo yao yakoje kijeshi - hawapati hasara hata kidogo??? Wataalamu wa masuala ya kijeshi wakisema Urusi kitu ingine mabeberu wanajitia kupuuzia tu - lakini wakizidiwa kete kidogo lugha inabadirika kwamba kumbe Urusi ni mpingo - na hapo kumbuka wanao pigana ni wanamgambo wa kusini mashariki mwa Ukraine kwenye majimbo yaliyo chukuliwa na Urusi - swali hapa ni, je, jeshi la Urusi likihamua kupigana moja kwa moja patatokea nini? Si NATO/USA wote watapotezana ikawa every man for himself......
 
Back
Top Bottom