Nililoamua ni kuwasha gari na kuondoka bila kulipa kwani bado nilikuwa na hasira jinsi nilivyochafuka kutokana na hilo dimbwi!! sasa sijui watanitafuta au la!! Najua naweza kuwa nimevunja sheria, lakini tujiulize yafuatayo;
MKUU hapo ukumtendea haki,,anaeshuglika na mambo ya barabara ni wizara ya miundombinu na TANROAD,yeye hana mamlaka ya kuongeza hata mchanga hapo,,,so swala la mvua kujaza madimbwi na je mvua isingenyesha,,nafikiri walaumiwe halmashauri ya kinondni ilala temeke ambazo zinachukua pesa nyingi tu kwa hawa mabwana na kwenda kugawana kwenye bara badala ya kuzifanyia kazi,,,ombi langu kama unamkumbuka vyema ukaenda kumrudishia ama kama vipi nipatie namba yake nitamrejeshea ,,ulikaa muda gani,,kumbuka yule kakulipia siku hiyo maana asipolipwa inakula kwake,,,,kuna supervisor wanahesabu magari so usipolipa wewe huyo mtu anakutolea huoni dhambi...............
TENDA WEMA UENDE ZAKO