andy90
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 270
- 105
STUDENTS ACADEMIC YEAR 2018/2019
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao hamfahamu location ya chuo kiko Dar Es Salaam-Mabibo
Mwisho kabisa chuo kitakapo anza usajiri rasmi tutaendelea kuwapa Updates
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau tupo tutakusaidia.
Nawasilisha!
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao hamfahamu location ya chuo kiko Dar Es Salaam-Mabibo
Mwisho kabisa chuo kitakapo anza usajiri rasmi tutaendelea kuwapa Updates
Kama wewe ni mgeni au kuna kitu kinakutatiza usisite kuuliza hapa wadau tupo tutakusaidia.
Nawasilisha!