National Institute of Transport (NIT) -Special Thread

National Institute of Transport (NIT) -Special Thread

wakuu mimi shida yangu nahitaji kujua katika course ya IT kwa kila semister tutasoma vitu gani kuanzia first year had last year kwenye tovuti yao sijaona

shukurani
Utakuta na ma tutor kama Deo, Leticia, Edgar mzee wa linux Mosha aka Magumashi mzee info system.
 
Hostel Za Chuo Vipi. Nimeskia Wameanza Kuchukua Fom Mwisho Tar 18, Iv Kuna Uwezekano Mtu Akakuchukulia. Nawasilisha.
 
Samahani NIT wanaruhusu transfer kutoka chuo kingine na kma ndio process zake?!!
Navyojua vyuo vyyote huwa vinaruhusu transfer, so hata NIT wataruhusu tu, baadhi ya vyuo huwa unaandika barua ya kuomba kuhamia ukiambatanisha na admission letter ya chuo ulichotoka na copies za vyeti vyako. vyuo vingine ukishapeleka hizo documents hukupa na form ya kujaza. so, fanya kupeleka maombi yako ya kuhamia mapema kabla TCU hawajafunga muda wa transfer
 
Navyojua vyuo vyyote huwa vinaruhusu transfer, so hata NIT wataruhusu tu, baadhi ya vyuo huwa unaandika barua ya kuomba kuhamia ukiambatanisha na admission letter ya chuo ulichotoka na copies za vyeti vyako. vyuo vingine ukishapeleka hizo documents hukupa na form ya kujaza. so, fanya kupeleka maombi yako ya kuhamia mapema kabla TCU hawajafunga muda wa transfer
Yeah
 
hivi kama umettoka diploma hao jamaa
hawahitaji AVN unapo apply?
 
Back
Top Bottom