Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Ni katika msingi huo, NCCR- Mageuzi kama chama cha siasa ambacho asili yake ni madai ya katiba mpya kuanzia uasisi wake kwa maana ya Kamati ya Taifa ya Madai ya Mabadiliko ya Katiba (National Committee For Constitution Reform (NCCR) iliyoketi tarehe 11 na 12 Juni 1991 na baadaye kujibadili kuwa chama cha siasa mwaka 1992).
Je vijana wa NCCR hamuoni sasa ni wakati muafaka wa kubadili jina la chama chenu, kwa kuwa mchakato wa katiba mpya umekwisha anza, au mnasubiri hadi katiba mpya ipatikane.
Je vijana wa NCCR hamuoni sasa ni wakati muafaka wa kubadili jina la chama chenu, kwa kuwa mchakato wa katiba mpya umekwisha anza, au mnasubiri hadi katiba mpya ipatikane.