Nathubutu kusema UEFA champions league Atletico Madrid ndio mabingwa 80% loading

mwekundu

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
21,859
19,734
Trend ya Atletico Madrid(AT) imewashangaza wengi nawalinganisha moja kwa moja na Leceister city katika mbio za medani za soccer ,match ambazo tulitarajia itolewe ndo kwanza imewaangusha vigogo ,Robo fainali vigogo no 1 wa soccer duniani Barcelona (defending champions) tuliona wanatolewa kwa aggregate ya 3-2
Leo katika Nusu fainali tunashuhudia team pekee ambayo tulitarajia iwatoe AT ikiaga mashindani kwa advantage ya away goal

Mimi kama mpenda mpira nathubutu kusema hivi kati ya Team zilizobaki sio Man city wala Madrid hamna yenye uwezo wa kumfunga AT,whether kwa historia kujirudia kama UEFA ya 2013-2014 au watoto wamuarabu wa Dubai kutoka jiji la Manchester

This time Atletico Madrid am 100% sure hatarudia makosa aliyoyafanya fainali za UEFA 2013-2014

Simeone Diego go go this is your reign
 
H
Wakicheza vile chelsea tunasema walipaki basi

Wakicheza atletico "strong definding"
Haha cyo poa bhana
Tunakoseaga tusamehe.
Kiukweli hampaki basi,bali mlikuwa mnapakigi crane ikiwa imenyanyua contena juu dk za mwisho kontena linaangushwa kibandani na Torres alikuwa anachomoka na gia anaondoka nayo!
Mlikuwa na tabia mbaya kweli nyie, na yule Mourinho wenu na Di Matteo.
 
H
Tunakoseaga tusamehe.
Kiukweli hampaki basi,bali mlikuwa mnapakigi crane ikiwa imenyanyua contena juu dk za mwisho kontena linaangushwa kibandani na Torres alikuwa anachomoka na gia anaondoka nayo!
Mlikuwa na tabia mbaya kweli nyie, na yule Mourinho wenu na Di Matteo.
Hahaha mi cyo chelsea ila Mou hakuona ndani kwa ile parkin ya di mateo,
Na atletco nao wana paki tuu nothing else
 
Trend ya Atletico Madrid(AT) imewashangaza wengi nawalinganisha moja kwa moja na Leceister city katika mbio za medani za soccer ,match ambazo tulitarajia itolewe ndo kwanza imewaangusha vigogo ,Robo fainali vigogo no 1 wa soccer duniani Barcelona (defending champions) tuliona wanatolewa kwa aggregate ya 3-2
Leo katika Nusu fainali tunashuhudia team pekee ambayo tulitarajia iwatoe AT ikiaga mashindani kwa advantage ya away goal

Mimi kama mpenda mpira nathubutu kusema hivi kati ya Team zilizobaki sio Man city wala Madrid hamna yenye uwezo wa kumfunga AT,whether kwa historia kujirudia kama UEFA ya 2013-2014 au watoto wamuarabu wa Dubai kutoka jiji la Manchester

This time Atletico Madrid am 100% sure hatarudia makosa aliyoyafanya fainali za UEFA 2013-2014

Simeone Diego go go this is your reign
Mkuu mbona unesahau na matokeo?
Ni kwamba Real anakufa 2-1
 
Trend ya Atletico Madrid(AT) imewashangaza wengi nawalinganisha moja kwa moja na Leceister city katika mbio za medani za soccer ,match ambazo tulitarajia itolewe ndo kwanza imewaangusha vigogo ,Robo fainali vigogo no 1 wa soccer duniani Barcelona (defending champions) tuliona wanatolewa kwa aggregate ya 3-2<br />Leo katika Nusu fainali tunashuhudia team pekee ambayo tulitarajia iwatoe AT ikiaga mashindani kwa advantage ya away goal<br /><br />Mimi kama mpenda mpira nathubutu kusema hivi kati ya Team zilizobaki sio Man city wala Madrid hamna yenye uwezo wa kumfunga AT,whether kwa historia kujirudia kama UEFA ya 2013-2014 au watoto wamuarabu wa Dubai kutoka jiji la Manchester<br /><br />This time Atletico Madrid am 100% sure hatarudia makosa aliyoyafanya fainali za UEFA 2013-2014<br /><br />Simeone Diego go go this is your reign
Mbona kama unabadilika badilika uchambuzi wa awali ulisema BM wayabadili matokeo sasa tena AT 100% kwa trends hii wakishinda MC utawaunga mkono
 
Real madrid wamecheza mechi tisa bila kufungwa goli hata moja hapo Santiago katika hii Champions league...toka makundi mpaka hapo walipo
 
#mwekundu, umeshamaliza kumeza zana zote za kilimo na usafi,naomba sasa hivi uhamie ktk fenicha,atletico wakifungwa utameza nini???dressing table au kistuli???haaa haaa haaa
 
Back
Top Bottom