Nateseka nilitumia dawa aina ya Malafin

Nateseka nilitumia dawa aina ya Malafin

Yaan nimeenda Hospital nimedungwa Sindano za Aleji na pia nimedungwa nyingine ya antibiotics napia kesho natakiwa tena nikadungwe.. yaan na vidonge juu .. najiuliza elfu 30 isha nitoka kisa Malafin ya elfu 2000..

Ila nashukuru Doctor kaniorodheshea dawa zote zenye sulphur akaniambia nisikae nitumie kamwe.
Dawa gani za allergy umeandikiwa?
 
Nilikutwa na malaria nikaandikiwa dawa jina limenitoka. Naambiwa dawa 25,000.

Halafu Malafin 1500.

Nikanunua na kutumia Malafin. Mnyonge myongeni haki yake apewe, yaani within an hour dalili za malaria zote zimekata niko vizuri tu.

Days later nakuta kikaratasi chake ambacho sikusoma maelezo kikisema ni dawa spesho kwa mama mjamzito. Na hunywewa kipindi cha ujauzito.

So now maombi yangu ni nisipate malaria koz sijioni nikitoa 25K ila pia ni aibu kumeza dawa ya mama mjamzito.
 
Kama viganja na nyayo zinauma katikati unahitaji kuchukua hatua za haraka kuondoa sumu mwilini kwa kuhamasisha utendaji wa figo na kutumia dawa za kusafisha figo. Tuwasiliane kwa msaada zaidi
 
Pia usikae sehemu zenye Jua hii huzidisha side effect ya hizo dawa...!!! Pole sana.
Yaan nimeenda Hospital nimedungwa Sindano za Aleji na pia nimedungwa nyingine ya antibiotics napia kesho natakiwa tena nikadungwe.. yaan na vidonge juu .. najiuliza elfu 30 isha nitoka kisa Malafin ya elfu 2000..

Ila nashukuru Doctor kaniorodheshea dawa zote zenye sulphur akaniambia nisikae nitumie kamwe.
 
Hizo dawa hutumika kama chanjo ya kuzuia mama mja mzito asipate malaria...!! Hazipo perfect kwenye kutibu malaria kabisaa unaweza kunywa ukahisi umepona ila baada ya muda aisee malaria inakupiga tenaa na inakuwa kali zaidi
Nilikutwa na malaria nikaandikiwa dawa jina limenitoka. Naambiwa dawa 25,000...
 
Mamlaka ya dawa walitoa hadi namba za simu ili kama umedhurika na dawa unawasiliana nao bure, skumbuki namba zao
 
Malafin sitaki hata kuisikia, ilinibadilikia ghafula, yaani nikimeza Uume unababuka Kama nimeunguzwa kwenye Moto.

Nina allergy na sulphur!
 
Hizo dawa hutumika kama chanjo ya kuzuia mama mja mzito asipate malaria...!! Hazipo perfect kwenye kutibu malaria kabisaa unaweza kunywa ukahisi umepona ila baada ya muda aisee malaria inakupiga tenaa na inakuwa kali zaidi
Mkuu mimi miaka yote Malafin inakuaga ni dawa yangu na haijawahi kunipa madhara,ila wiki iliyopita nilizimeza sasa nasikia kelele kichwani/masikioni mkuu.

Nifanye nini ku solve hii kitu mkuu?
 
Mkuu mimi miaka yote Malafin inakuaga ni dawa yangu na haijawahi kunipa madhara,ila wiki iliyopita nilizimeza sasa nasikia kelele kichwani/masikioni mkuu.

Nifanye nini ku solve hii kitu mkuu?
Hiyo ni side effect ya dawa inafanana kama Quinine pole sana.. cha muhimu acha kuitumia! Mara nyingi tatizo kama hili huisha lenyewe with time au sometimes hali huwa mbaya na permanent..!! Pole sana
 
Hiyo ni side effect ya dawa inafanana kama Quinine pole sana.. cha muhimu acha kuitumia! Mara nyingi tatizo kama hili huisha lenyewe with time au sometimes hali huwa mbaya na permanent..!! Pole sana
Permanent tena mkuu,aisee ishakua inshu sasa mkuu.

Nilidhani kuna dawa za kiuchoma hii hali iishe mkuu,nashukuru mkuu.
 
Hata Metakelfin zilishapigwa marufuku Marekani. Niliuliza wakasema eti zina athari mbaya kwenye ubongo na moyo. Ilibidi kuzitupa. Ila sisi huku Afrika jalalani kila kitu tunatwanga tu!
Alafu bado tunasema tuna wataalam! hizi nchi za dunia ya tatu ni ujinga mtupu.
 
Shemeji yangu alitumia hiyo dawa..nakwambia ilibaki kidogo tu imuondoe duniani yaani.
 
Yaan nimeenda Hospital nimedungwa Sindano za Aleji na pia nimedungwa nyingine ya antibiotics napia kesho natakiwa tena nikadungwe.. yaan na vidonge juu .. najiuliza elfu 30 isha nitoka kisa Malafin ya elfu 2000..

Ila nashukuru Doctor kaniorodheshea dawa zote zenye sulphur akaniambia nisikae nitumie kamwe.
Zitaje
 
Nilikutwa na malaria nikaandikiwa dawa jina limenitoka. Naambiwa dawa 25,000.

Halafu Malafin 1500.

Nikanunua na kutumia Malafin. Mnyonge myongeni haki yake apewe, yaani within an hour dalili za malaria zote zimekata niko vizuri tu.

Days later nakuta kikaratasi chake ambacho sikusoma maelezo kikisema ni dawa spesho kwa mama mjamzito. Na hunywewa kipindi cha ujauzito.

So now maombi yangu ni nisipate malaria koz sijioni nikitoa 25K ila pia ni aibu kumeza dawa ya mama mjamzito.
Hicho mwenyewe nilikionaga ila nikasema uchawi hauendi kwa mentali😂 ndio dawa yangu natumiaga hio na napona kabisa!

Zile ALU dawa nyingi kama sachet ya hereni za jero jero ile hapana!
 
Vaa
Mkuu mimi miaka yote Malafin inakuaga ni dawa yangu na haijawahi kunipa madhara,ila wiki iliyopita nilizimeza sasa nasikia kelele kichwani/masikioni mkuu.

Nifanye nini ku solve hii kitu mkuu?
earphone mkuu halafu weka Amapiano
 
Dawa mbaya Sana..kidogo initoe uhai..
Nikipata malaria nakunywa duocotexin (Sina uhakika Kama nimeandika vizuri)
 
Back
Top Bottom